MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
-
- #141
Nisaidie kujibu hapo, kwanini zinauzwa ghali sana?
Latest zipo ila ni 800k kuendelea. Kuna A52 5G or A71Nahitaji latest ingependeza kama ungenitajia model.
Hlo ni swala la simu tu. Hata Android zenye za bei kma za iPhone hani stuck wala nini. Mimi natumia Google Pixel 4 na inapiga kazi vizuri. Huwezi ona imenasa hata siku moja. Ukilinganisha Android ya laki 5 na iPhone ya 2M hapo unakoseaZinauzwa ghali kutokana na uimara wake kuanzia Quality ya Camera na upekee wao wa ios, iPhone hata ikiwa full haiwezi kustuck bali itakuleta ujumbe kwamba imejaa ila kupiga kazi kama kawaida inapiga kazi. Haigusi vizuri mara sijui app stoped kama hizi Android.
Laki 5 kma unataka simu ya maana mpya nunua Xiaomi tu or Realme/Oppo. Redmi Note 10 unaweza pata kwa laki 5
Latest zipo ila ni 800k kuendelea. Kuna A52 5G or A71
Simu nzuri ni bei kubwa. Kma latest iPhone zilivyokuwa 2M+ kuna Android phones za 2M+ pia. Kma unataka uwezo mzuri kwa bei ndogo nunua Android ya zamani kidogo utapata uwezo mzuri tu. Unaweza pata Google Pixel 3 or 3XL kwa wadau for about 500k. Camera nzuri kuliko iPhone zote except iPhone 11 kwenda juu, performance nzuri, na unapata latest Android version.Duh hatari
Hii kweli. [emoji1787][emoji1787]Mtoa uzi mjanja mjanja mno
Nimemfatilia ila ngoja nione ataamua nn?
Watu wameshauri
Ila anaonekana anajua chocho zote
Ngoja nione ataangukia wapi.
Ulinunua shi ngapi bosi ?Kidogo juzi kati niingie Kwenye Jeneza la iOS nikashtuka.Nipo na Samsung A21s yangu hapa si mchezooo.Naifanya nitakavyo,battery bombaaaa Haina mpango wa kuisha muda wote data on
Kuna store nyingine tofauti na hiyo wanauza bei hiyo ya 439,827.43Una uhakika mkuu sio changa la Macho hili?
SD 480G ina nguvu kushinda sd 720G na 732G ina maana hii simu ina nguvu kushinda redmi note 10 pro, galaxy A52 etc.
Kama ni kweli ni bonge la simu, ila akili yangu inaniambia either wamekosea kichwa cha habari ama seller ni tapeli (hana review yoyote), no way simu ya sd 480G iwe chini ya dola 200, nyingi ni dola 300 kupanda.
Hapo nimekupataZinauzwa ghali kutokana na uimara wake kuanzia Quality ya Camera na upekee wao wa ios, iPhone hata ikiwa full haiwezi kustuck bali itakuleta ujumbe kwamba imejaa ila kupiga kazi kama kawaida inapiga kazi. Haigusi vizuri mara sijui app stoped kama hizi Android.
Aisee hiyo 5G sidhani kama tutakuja kuitumia ndani ya miaka mitatu ijayo maana 4G yenyewe iko mjini tu. Kama Reno 5 walivyokuja na 4G version hapo KenyaNORD 10N simu kali sana kama unavisha simu cover,
SD 690G kwa simu chini ya dola 300 ni nzuri, pia ina 5G future proof.
Kama ni kweli kwa hio bei hata kama wame downgrade kwengine ni simu nzuri bado.Kuna store nyingine tofauti na hiyo wanauza bei hiyo ya 439,827.43
Kwenye tovuti ya gizmochina wamelist price $190.
vivo U3x - Specs, Price, Reviews, and Best Deals
vivo U3x is powered by the Qualcomm SM4350 Snapdragon 480 5G Octa-core processor and Adreno 619 GPU. The smartphone comes with a 6.58 inches...www.gizmochina.com
Hata wauzaji wa alibaba bei ina $195-$240 kulingana na ukuwa wa RAM na ROM
Official New Original Vivo Iqoo U3x 5g Cell Phone Snapdragon480 Octa Core 90hz 6.58inch 13.0mp Camera 5000mah 18w Fast Charge - Buy Vivo Iqoo U3x,Vivo,Vivo 5g Phone Product on Alibaba.com
Official New Original Vivo Iqoo U3x 5g Cell Phone Snapdragon480 Octa Core 90hz 6.58inch 13.0mp Camera 5000mah 18w Fast Charge - Buy Vivo Iqoo U3x,Vivo,Vivo 5g Phone Product on Alibaba.comwww.alibaba.com
Ukiangalia hii simu kuna wamevidowngrade kama kama camera na fast charge
Kiujumla hiyo ndio bei yake.
Voda kukikaa vizuri tu wanaleta, Nchi mbalimbali za Africa wana roll out 5G.Aisee hiyo 5G sidhani kama tutakuja kuitumia ndani ya miaka mitatu ijayo maana 4G yenyewe iko mjini tu. Kama Reno 5 walivyokuja na 4G version hapo Kenya
Simu nzuri ni bei kubwa. Kma latest iPhone zilivyokuwa 2M+ kuna Android phones za 2M+ pia. Kma unataka uwezo mzuri kwa bei ndogo nunua Android ya zamani kidogo utapata uwezo mzuri tu. Unaweza pata Google Pixel 3 or 3XL kwa wadau for about 500k. Camera nzuri kuliko iPhone zote except iPhone 11 kwenda juu, performance nzuri, na unapata latest Android version.
Simu mbili tofauti mzee umeipata wapiHivi kuna Redmi Note 10 na Redmi Note 10 Pro? Au ni hiyo hiyo moja? Nimepata hapa 4RAM 128GB wanauza 500k.
Simu mbili tofauti mzee umeipata wapiHivi kuna Redmi Note 10 na Redmi Note 10 Pro? Au ni hiyo hiyo moja? Nimepata hapa 4RAM 128GB wanauza 500k.
Mi natumia Vivo hainizingui. Unaweza kuzichiki pia.Nimeamua kuhamia Android Ila nimeshindwa kuamua
Laki 3 mkuuUlinunua shi ngapi bosi ?
Hizo ni Simu nzuri piaHivi kuna Redmi Note 10 na Redmi Note 10 Pro? Au ni hiyo hiyo moja? Nimepata hapa 4RAM 128GB wanauza 500k.
NishamstukiaHii kweli. [emoji1787][emoji1787]