Bye bye ios

Bye bye ios

Nisaidie kujibu hapo, kwanini zinauzwa ghali sana?

Zinauzwa ghali kutokana na uimara wake kuanzia Quality ya Camera na upekee wao wa ios, iPhone hata ikiwa full haiwezi kustuck bali itakuleta ujumbe kwamba imejaa ila kupiga kazi kama kawaida inapiga kazi. Haigusi vizuri mara sijui app stoped kama hizi Android.
 
Zinauzwa ghali kutokana na uimara wake kuanzia Quality ya Camera na upekee wao wa ios, iPhone hata ikiwa full haiwezi kustuck bali itakuleta ujumbe kwamba imejaa ila kupiga kazi kama kawaida inapiga kazi. Haigusi vizuri mara sijui app stoped kama hizi Android.
Hlo ni swala la simu tu. Hata Android zenye za bei kma za iPhone hani stuck wala nini. Mimi natumia Google Pixel 4 na inapiga kazi vizuri. Huwezi ona imenasa hata siku moja. Ukilinganisha Android ya laki 5 na iPhone ya 2M hapo unakosea
 
Duh hatari
Simu nzuri ni bei kubwa. Kma latest iPhone zilivyokuwa 2M+ kuna Android phones za 2M+ pia. Kma unataka uwezo mzuri kwa bei ndogo nunua Android ya zamani kidogo utapata uwezo mzuri tu. Unaweza pata Google Pixel 3 or 3XL kwa wadau for about 500k. Camera nzuri kuliko iPhone zote except iPhone 11 kwenda juu, performance nzuri, na unapata latest Android version.
 
Una uhakika mkuu sio changa la Macho hili?

SD 480G ina nguvu kushinda sd 720G na 732G ina maana hii simu ina nguvu kushinda redmi note 10 pro, galaxy A52 etc.

Kama ni kweli ni bonge la simu, ila akili yangu inaniambia either wamekosea kichwa cha habari ama seller ni tapeli (hana review yoyote), no way simu ya sd 480G iwe chini ya dola 200, nyingi ni dola 300 kupanda.
Kuna store nyingine tofauti na hiyo wanauza bei hiyo ya 439,827.43

Kwenye tovuti ya gizmochina wamelist price $190.

Hata wauzaji wa alibaba bei ina $195-$240 kulingana na ukuwa wa RAM na ROM

Ukiangalia hii simu kuna wamevidowngrade kama kama camera na fast charge

Kiujumla hiyo ndio bei yake.
 
Zinauzwa ghali kutokana na uimara wake kuanzia Quality ya Camera na upekee wao wa ios, iPhone hata ikiwa full haiwezi kustuck bali itakuleta ujumbe kwamba imejaa ila kupiga kazi kama kawaida inapiga kazi. Haigusi vizuri mara sijui app stoped kama hizi Android.
Hapo nimekupata
 
NORD 10N simu kali sana kama unavisha simu cover,

SD 690G kwa simu chini ya dola 300 ni nzuri, pia ina 5G future proof.
Aisee hiyo 5G sidhani kama tutakuja kuitumia ndani ya miaka mitatu ijayo maana 4G yenyewe iko mjini tu. Kama Reno 5 walivyokuja na 4G version hapo Kenya
 
Kuna store nyingine tofauti na hiyo wanauza bei hiyo ya 439,827.43

Kwenye tovuti ya gizmochina wamelist price $190.

Hata wauzaji wa alibaba bei ina $195-$240 kulingana na ukuwa wa RAM na ROM

Ukiangalia hii simu kuna wamevidowngrade kama kama camera na fast charge

Kiujumla hiyo ndio bei yake.
Kama ni kweli kwa hio bei hata kama wame downgrade kwengine ni simu nzuri bado.
 
Simu nzuri ni bei kubwa. Kma latest iPhone zilivyokuwa 2M+ kuna Android phones za 2M+ pia. Kma unataka uwezo mzuri kwa bei ndogo nunua Android ya zamani kidogo utapata uwezo mzuri tu. Unaweza pata Google Pixel 3 or 3XL kwa wadau for about 500k. Camera nzuri kuliko iPhone zote except iPhone 11 kwenda juu, performance nzuri, na unapata latest Android version.

Hivi kuna Redmi Note 10 na Redmi Note 10 Pro? Au ni hiyo hiyo moja? Nimepata hapa 4RAM 128GB wanauza 500k.
 
Back
Top Bottom