Bye bye ios

Bye bye ios

Uhuru kama upi?

Kudownload vitu kama mziki, movie inakuwa ngumu sana, wakati kwenye android naweza kudownload na kuhamishia hata kwenye flash vizuri tu. Kwenye android unaweza kuweka hata vidmate na ukawa unadownload HD video. Lakini huku kwenye ios utasubiri sana.
 
Samsung a32 5g bado ni simu nzuri kwa sababu inatumia Mediatek Dimensity 720 5g.
Dimensity series zina uwezo tu mkubwa ukilinganisha na baadhi ya SoC za qualcom

Japo bei ya samsung a32 inaweza ghari kwa sababu kuna simu zinatumia Dimensity 720 5g na bei ni chini ya 450k.
Mfano ni redmi note 10 5g ambayo ina vitu vingi vizuri kuliko a32 5g.

Lakini kama snapdragoni ni kipaumbele kwako nadhani Vivo U3X inakufaa kwa sababu kiuwezo inaipita redmi note 10 5g na samsung a32 5g.

Vivo U3X inatumia snapdragon 480 ambayo ina modem ya 5g pia na kiuwezo inazipita cpu nyingi tu za hivi karibuni.
Japo vitu vingine vya kawaida sana.

View attachment 1792773
Bei ya Vivo u3x aliexpres inaenda TZS 435,908.89 mpaka uipate.
Una uhakika mkuu sio changa la Macho hili?

SD 480G ina nguvu kushinda sd 720G na 732G ina maana hii simu ina nguvu kushinda redmi note 10 pro, galaxy A52 etc.

Kama ni kweli ni bonge la simu, ila akili yangu inaniambia either wamekosea kichwa cha habari ama seller ni tapeli (hana review yoyote), no way simu ya sd 480G iwe chini ya dola 200, nyingi ni dola 300 kupanda.
 
Kudownload vitu kama mziki, movie inakuwa ngumu sana, wakati kwenye android naweza kudownload na kuhamishia hata kwenye flash vizuri tu. Kwenye android unaweza kuweka hata vidmate na ukawa unadownload HD video. Lakini huku kwenye ios utasubiri sana.
Na kuplay na bluetooth speaker inasumbua pia?
 
Mkuu kanunue Tecno utumie baada ya mwezi kisha leta majibu.
Tecno na infinix ni simu za bei rahisi sana ila kama kwa mfano tecno ukinunua kuanzia hile spark 5 au camon series, Phantom series na infinix kuanzia hot 9 ya 3GB RAM, NOTE SERIES cdhan kama kuna shida kwa matumiz ya watanzania weng kuingia fb, jf, insta, whatsapp na youtube.
Ila kama ndio mtu unatumia zile pop, cjui W5....nk hapo lazma ukutanenacho.

#kama huna uwezo ingia tecno maisha hayalazimishw wote mtaona tu updates za millard ayo ila kama unataka showoff uza ata vitu vyako vya ndani unanunua iphone au samsung S21Ultra ili uonekane wa kileo alaf kesho uanze tena kuilaumu serikali kuwa haiwajali vijana kwenye ajira...
#Goodluck!!
 
Tecno na infinix ni simu za bei rahisi sana ila kama kwa mfano tecno ukinunua kuanzia hile spark 5 au camon series, Phantom series na infinix kuanzia hot 9 ya 3GB RAM, NOTE SERIES cdhan kama kuna shida kwa matumiz ya watanzania weng kuingia fb, jf, insta, whatsapp na youtube.
Ila kama ndio mtu unatumia zile pop, cjui W5....nk hapo lazma ukutanenacho.

#kama huna uwezo ingia tecno maisha hayalazimishw wote mtaona tu updates za millard ayo ila kama unataka showoff uza ata vitu vyako vya ndani unanunua iphone au samsung S21Ultra ili uonekane wa kileo alaf kesho uanze tena kuilaumu serikali kuwa haiwajali vijana kwenye ajira...
#Goodluck!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana, unajua sifa zake ninazozisikia, na bei zake, zinanishawishi kuona ni simu nzuri na zenye ubora sana

Simu zao ziko vizuri mno, shida tu ni ule uhuru wa kutumia unavyotaka. Kule android unaweza kupata app nje ya playstore lakini huku huwezi kuweka app tofauti na ile iliyoko appstore. Labda ujaibreak
 
Tecno na infinix ni simu za bei rahisi sana ila kama kwa mfano tecno ukinunua kuanzia hile spark 5 au camon series, Phantom series na infinix kuanzia hot 9 ya 3GB RAM, NOTE SERIES cdhan kama kuna shida kwa matumiz ya watanzania weng kuingia fb, jf, insta, whatsapp na youtube.
Ila kama ndio mtu unatumia zile pop, cjui W5....nk hapo lazma ukutanenacho.

#kama huna uwezo ingia tecno maisha hayalazimishw wote mtaona tu updates za millard ayo ila kama unataka showoff uza ata vitu vyako vya ndani unanunua iphone au samsung S21Ultra ili uonekane wa kileo alaf kesho uanze tena kuilaumu serikali kuwa haiwajali vijana kwenye ajira...
#Goodluck!!

[emoji23][emoji23][emoji23] umeamua kulipuka kabsa
 
Simu zao ziko vizuri mno, shida tu ni ule uhuru wa kutumia unavyotaka. Kule android unaweza kupata app nje ya playstore lakini huku huwezi kuweka app tofauti na ile iliyoko appstore. Labda ujaibreak
Sawa sawa, pia naomba uniambie uzuri wa hizo simu ni upi?? Mpaka ufanye ziuzwe ghali? Maana nataka niachane na Android
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.


Bajeti yangu ni Laki Tano.
Laki 5 kma unataka simu ya maana mpya nunua Xiaomi tu or Realme/Oppo. Redmi Note 10 unaweza pata kwa laki 5
 
Back
Top Bottom