Asante sanaHata hizo unazosema za dunia ya kwanza tumetumia na sasa tumeweka pembeni, dont become a single track thinker kwa kuwa umeaminishwa kuwa hiki ni bora tu, hakiwezi kudumu katika ubora forever. Mwanzoni magari ya kichina(mabasi) yalipoanza kuingia Tz, dharau ilikuwa kubwa sana. Leo ndiyo kimbilio. Kumbuka China na Korea ni nchi za dunia ya kwanza pia. IPhone X, ya sasa unaweza kuilinganisha na Samsung Note 9?
Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
Hiki unachokiita uchafu ni must billion project ambayo am sure hata nchi yako haiwezi kufanya uwekezajiHivi unaanzaje kifananisha Huawei (uchafu) na iPhone?
Sent from my HTC Desire 626 dual sim using JamiiForums mobile app
Kwa mwanamke kutumia tecno hakuna atakaekushangaa, ila Ungekuwa mwanaume hapo noma aseee!Bora sisi wengine huwa tuna komaa na Tecno tu, hata ije brand ya Flyover
Masikini akipata, matako hulia mbwata. Nimegundua ni ulimbukeni unaokusumbua. Siyo kosa lako, ni mindset ya ulimbukeni,it is very hard to make a correction of a corrupt mindKwa mwanamke kutumia tecno hakuna atakaekushangaa, ila Ungekuwa mwanaume hapo noma aseee!
Technology ibadilika nyingi tu sasa zinaubora wa hali ya juu umeshatumia ngapi mpaka umesema ya button?.Au ulisikiaga zinasumbua battery ukaamini bila utafitisamsung ipi battery iko vizuri mkuu,au za button?
Sent from your Huawei GRA-L09[emoji16][emoji16]Masikini akipata, matako hulia mbwata. Nimegundua ni ulimbukeni unaokusumbua. Siyo kosa lako, ni mindset ya ulimbukeni,it is very hard to make a correction of a corrupt mind
Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
Note 4 best note lakini hata zilizofuatia kuanzia matoleo ya S,J,A,C pamoja na note yanasimu nzuri uzuri wa samsung simu yoyote unayotumia una feel best performance,qualityNote 4 ndio pekee zilijitahidi hata kwa features
Hilo toleo la mda tafuta matoleo mapya au chukua flagship za nyuma kama note 4 note 5 au s6 edge + s7 edgeniliwahi miliki samsung galaxy ace 58...,batery ilikuwa ina kaa dk 20 kwenye intanet,nikanunua betri mpya kwa 30,000/ikawa inadumu dk 30..sina hamu..
Unatumia aina ipiMimi najulikana wazi ni team Infinix
Samsung is the best brand ever kuanzia note 4 na matoleo mengine yapo poa sana yani ukimiliki hutojutia inatakiwa utunzaji tu maana ukivunja kioo super Amoled display ni very quality & expensiveKwahiyo unataka kusema kuwa samsung galaxy note 9 ukiiweka na iPhone Xs max..bado hakuna ulinganifu hapo??
Dunia ya kwanza ipi? Kwa vigezo vipi? Kama ni uchumi wa juu basi China pia ni dunia ya kwanza maana anawasumbua vichwa hao unaofikiria wewe ni dunia ya kwanza. Anauza sana bidhaa kwenye nchi zao ila wao wanapata tabu sana kupenyeza bidhaa China.pambana na p8 yako mkuu,usilinganishe na simu za dunia ya kwanza.