Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

MTOA MADA NI MWANAFUNZI MSAMEHENI HAJUI IPHONE HESHIMA YAKE KITU CHOCHOTE CHA MAREKANI PRODUCT ZAKE HAKUNA SEHEMU YOYOTE UTAKAYOIPATA UIMARA NA UZURI UTAWADANGANYA WASIOTEMBEA WASIOJUA SEMA KUNA IPHONE FEKI ZINATENGENEZWA CHINA KAMA HIYO KWENYE PICHA GOOGLE HALAFU ULIZIA IPHONE FAKE ZIKO VIPI UTAONYESHWA i phone 6 huwezi kuipata bila kuwa na mill 2 na kitu ukioona tz i phone inauzwa million1 feki au million 1 ,5 jiulize mara mbili watakwambia orginal wafanya biashara lakini feki
 
Pamoja na mambo hayo bado kuna tishio la simu za Iphone kuzuiwa kuuzwa china kutokana ma case yake na Qualcomm Qualcomm says Apple needs to take China iPhone ban seriously - Tech News | The Star Online
 
Mkuu hupandishi upareni?
Mataruma yameshika kutu... Nitaenda kiroho tuu [emoji144][emoji144][emoji144]
Dah... Bila shaka nyagi inasoma kichwani Mkuu maana majibu yako.. Kuna jamaa kule upande wa pili umewaambia walinunua gari kwa ajili ya maiti zilizokufa.. Ha ha ha haaaa.
 
Haya asante mtaalam
 
Mkuu hupandishi upareni?
Dah... Bila shaka nyagi inasoma kichwani Mkuu maana majibu yako.. Kuna jamaa kule upande wa pili umewaambia walinunua gari kwa ajili ya maiti zilizokufa.. Ha ha ha haaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…