[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unawafamu wachina au unawasikia?
IPhone 6 hiyo 64gb kwa 450 tuView attachment 973279
anatafakari?wakati mkurugenzi wa huawei keshakamatwa canada na usa wamesema aende usa akashtakiwe huko,mchina amempiga mkwara mzito mcanada..
sasa mtoa mada yeye kosa lake nini?yeye sio mchina ni mtz,tena mpare,,kama iphone zote za bongo ni feki,basi balaa kubwa hili,inawezekana iphone dunia nzima ni feki,isipokuwa za marekani tu...tuhuma zako ni nzito na ngumu kuthibitisha,uagize iphone kupitia tigoshop au vodashop alafu zote ziwe feki,si hatari hiyo....MTOA MADA NI MWANAFUNZI MSAMEHENI HAJUI IPHONE HESHIMA YAKE KITU CHOCHOTE CHA MAREKANI PRODUCT ZAKE HAKUNA SEHEMU YOYOTE UTAKAYOIPATA UIMARA NA UZURI UTAWADANGANYA WASIOTEMBEA WASIOJUA SEMA KUNA IPHONE FEKI ZINATENGENEZWA CHINA KAMA HIYO KWENYE PICHA GOOGLE HALAFU ULIZIA IPHONE FAKE ZIKO VIPI UTAONYESHWA i phone 6 huwezi kuipata bila kuwa na mill 2 na kitu ukioona tz i phone inauzwa million1 feki au million 1 ,5 jiulize mara mbili watakwambia orginal wafanya biashara lakini feki
Sasa mbona bei juu mzee, hizi marketing effort zako nimezikubali sana bro! Umetumia kitu ambacho wataalamu tunaita "buzz marketing." Lazma hio iphone ipate mteja ila ungefanya 300k ingependeza zaidi maana ni simu za malaya tu kwa sasa.
Vita imekolea. CEO wa Huawei mwanadada ambaye ni binti wa mwanzilishi wa Huawei anashikiliwa Canada kwa amri ya korti moja Marekani. Wanataka kuiua Huawei. Hawatengenezi simu peke yake. Mfumo wa 5G basically ni Huawei in terms of vifaa na teknologia. Hata Pentagon ni wateja wao. Ni vita kali.Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
ni ngumu sana,lakini kumbuka mchina ni soko zuri la biashara la nchi yeyote,maana wako wengi na ni matajiri,nafikiri hata canada ana makampuni yake mengi china,atachokoza vita mbaya sana....Unadhani kwa lile biti la China kwa Mkanada atafanya kumkabidhi US yule dada?
Subiri tu muda utasikia kapotea.
Hizi zinaitwa jifariji kuponya jeraha, there is no way watampiku iphone,,,,,unapozungumzia neno fitna kiwanda chake.kiko marekani, mchina atauza wap hasa? Tuache ushabiki sana sana tuseme tu ukwel huawei ikiwekwa mezan na iphone x ukaambiwa chagua utapeleka mkono wap?Nimetafuta kote kwenye andiko lako kaka kuona jinsi gani China walivyo fanya mapinduzi kwa iphone katika nyanja zenye tija kama
-software development
-Durability
-Capacity
-Efficiency
(Na mengine kibao wataalam wa IT wakija watayaweka vizuri)
Lakini sijaona lolote miongoni mwa hayo zaidi ya mbinu za kimapinduzi zinazo husisha kashafa za tuhuma pekee ..
Kwa kuzingatia hayo yote yaliyotajwa , ningelipenda ku conclude kwa kusema kuwa. “Stori hii ina Funza”
-
Mimi ninachojua mchina kaiba baadhi ya features za iPhone akatengeneza simu yake ya Xiaomi.Nimetafuta kote kwenye andiko lako kaka kuona jinsi gani China walivyo fanya mapinduzi kwa iphone katika nyanja zenye tija kama
-software development
-Durability
-Capacity
-Efficiency
(Na mengine kibao wataalam wa IT wakija watayaweka vizuri)
Lakini sijaona lolote miongoni mwa hayo zaidi ya mbinu za kimapinduzi zinazo husisha kashafa za tuhuma pekee ..
Kwa kuzingatia hayo yote yaliyotajwa , ningelipenda ku conclude kwa kusema kuwa. “Stori hii ina Funza”
-
Mbea msomisasa mtoa mada yeye kosa lake nini?yeye sio mchina ni mtz,tena mpare,,kama iphone zote za bongo ni feki,basi balaa kubwa hili,inawezekana iphone dunia nzima ni feki,isipokuwa za marekani tu...tuhuma zako ni nzito na ngumu kuthibitisha,uagize iphone kupitia tigoshop au vodashop alafu zote ziwe feki,si hatari hiyo....
niliwahi miliki samsung galaxy ace 58...,batery ilikuwa ina kaa dk 20 kwenye intanet,nikanunua betri mpya kwa 30,000/ikawa inadumu dk 30..sina hamu..Note 4 ndio pekee zilijitahidi hata kwa features
ni ngumu sana,lakini kumbuka mchina ni soko zuri la biashara la nchi yeyote,maana wako wengi na ni matajiri,nafikiri hata canada ana makampuni yake mengi china,atachokoza vita mbaya sana....
ila watumiaji wa iphone bwana[emoji23][emoji23]wanajionaga wao simu zao ndio bora tu, nilikaa siti moja na ka slay queen kalikuwa na 6 plain mda wote kapo bize na simu, nlivyokuwa natoa simu yangu mfukoni kakawa kananiibia natoa simu gani bahati nzuri namimi nilikuwa nlkuwa na samsung yangu kaliii imesimamia ukucha ikawa imekula kwake na 6 plain nayo ikapumzishwa tukawa marafiki hapohapoUkisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
nahisi iphone zina be assembled in china,ila sio made in china....Si kweli, mchina hasipo tumia iphone anaona hana simu kabisa! Pia Huawei ni brand ndogo sana kwa china, zipo matata zaidi na zinafanya vizuri katika soko la china!! Na utambue kuwa iphone pia uzalishwa china na kampuni tanzu ya iphone! iphone Black Diamond ndiyo simu yenye bei zaidi kuzidi gari ya gharama zaidi kwa sasa!!
..................Pia kunaKuna kitu inaitwa OPPO F9 mchina,icheki uone kama huyo iPhone atatia mguu hapo