Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

umesoma vizuri nilichokisema???
kimbilio lako matusi tu sababu huna hoja & hujielewi vilevile...

kwa kumheshimu bro Mshana Jr sitojibu lugha isiyo na staha kwenye uzi wake
Asante sana kwa weledi kujitambua na kuonesha kujali
 
Iphone haiwez kufa maana inatumia software yake pekee

Afu kingine iphone 6 ni ya 2014 uku huawei p10 ni 2017
Afu unit za iphone6 ziliuzwa nyingi sana lazima bei ishuke maana wauzaj ni wengi sana
 
Iphone haiwez kufa maana inatumia software yake pekee

Afu kingine iphone 6 ni ya 2014 uku huawei p10 ni 2017
Afu unit za iphone6 ziliuzwa nyingi sana lazima bei ishuke maana wauzaj ni wengi sana
Sio kwa dunia ya leo hapo Yi Wu kuna vijana wa kichina ni watundu wamepitiliza
 
Hlkuna kitu inatwa xiomi pocophone hapo China huyo iPhone atateseseka sana
Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
 
Huawei iwe sawa na Iphone???acha umama mzee,halafu Huawei p20 unaanzaje kuilinganisha bei na Iphone 6???kwanini usiilinganishe na Iphone 6+,6s+au 7 na 7+????
 
Mimi natumia Huawei P8, ingawa ni ya siku nyingi kidogo, bado inatishia hizo wanazosema iPhone. Huawei ni simu nzuri sana. Sasa zimefikia P30 pro, iPhone bado ina kazi. China wana simu nyingi, za hadhi. Brand za kichina ndiyo kama: Huawei Honor, Huawei P series, Opp Find X, Nex, Xiaomi, Umidigi, ZTE, kiukweli ni simu nzuri sana

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom