nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
We nae usituchoshe na kilio Chako.
Komaa na ukaze buti hapa hapa Bongo.
Utafanikiwa tu someday.
Sidhani kulikuwa na haja ya kutumia neno unatuaga sababu hata utakapo kuwa canada utakuwa bado unaweza ku access jamii forum sababu this is an online application,ulicho takiwa kufanya kwenye hii thread ni kutoa taarifa kuwa unahama tz.
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
pengine alidhani JF inabaki kwenye desktop yake anayoiacha tz[/Q
Ni shida sana kwa hawa wadogo zetu wa kizazi cha siku hizi they have a very poor thinking capacity.
anashobo kweli huyu mkimbizi.Aliyekuambia JF Haipatikani Hata Huko Ni Nani? Acha SHOBO! JF Hata Kwa Sir God ( Mbinguni ) Ipo Available. Tunashukuru Kwa Mashauzi!
Watu hamna wema. . . . . .kwani ukiagwa kama hutaki si unaiacha thread tu. . .
All the best uendako. . .
Had roho inaniuma sema kweli jamn coz anaondoka jehanam anaenda peponi hongera bna kwa kuihama tz ngoja na sisi tujitahid tuuikimbie
pengine alidhani JF inabaki kwenye desktop yake anayoiacha tz
Umenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:
"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.
Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.
Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."
Wazee wenzangu watakumbuka!
anawaaga hadi family members anaohama nao.Unawaaga hata walio Canada?
Miyoloo akee meinguaro omarengei lasima viputukung'
Miss you my love
Sidhani kulikuwa na haja ya kutumia neno unatuaga sababu hata utakapo kuwa canada utakuwa bado unaweza ku access jamii forum sababu this is an online application,ulicho takiwa kufanya kwenye hii thread ni kutoa taarifa kuwa unahama tz.
Watu hamna wema. . . . . .kwani ukiagwa kama hutaki si unaiacha thread tu. . .
All the best uendako. . .
Utakua canada sehemu gani maana hata mimi niko canada niwe mwenyeji wako.
Nipm email yako mtoto mzuri..
Aliyekuambia JF Haipatikani Hata Huko Ni Nani? Acha SHOBO! JF Hata Kwa Sir God ( Mbinguni ) Ipo Available. Tunashukuru Kwa Mashauzi!