ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,120
- 5,352
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
hata ukiwa canada JF imafanya kazi kama kawaida so isiwe kisingizio cha kutukimbia humu...safari njema mkuu.