Gideon Jeremiah
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 230
- 76
Umenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:
"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.
Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.
Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."
Wazee wenzangu watakumbuka!
Kumbukumbu mujarabu pia ni dawa sahihi ya mfadhaiko wa akili hasa unaotokana na mihangaiko ya siku nzima ya kutafuta riziki yako na kwa ujenzi wa taifa lako! Nimejifunza kitu kupitia quote yangu kuwa wengi wetu miaka ile ya tisini tulikuwa aidha shule ya msingi au sekondari!Asante sana ndugu, Daaah! Umenikumbusha mbaaaali sana aiseee!
DUH! Huko unakoenda hakuna Internet nn??
Hahahahaha dogo acha ushamba ni mambo ya kawaida......Ingekuwa huko Ulaya na Marekani mambo mazuri basi tungewaona wabongo wengi wakija kuturingishia mambo yao mazuri ya kutoka huko majuu.....kaka kule maisha magumu sana ndio maana ndugu zetu walioko huko wanaogopa kurudi....Tembea uone mengi..
Umenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:
"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.
Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.
Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."
Wazee wenzangu watakumbuka!
Asante sana ndugu, Daaah! Umenikumbusha mbaaaali sana aiseee!
kokuink na wewe shidaa haahaa nsalimie prettahahahaaaaa.....preta katika ubora wake.
Hujambo lakini?
Labdakuna ZFHahahaaaaa.....Preta katika ubora wake.
Hujambo lakini?
Shkamoo kaka OS
Sababu una uraia wa Tanzania. Utarudi tu wangapi wameenda huko na wakarudi.
Kumbe hata secondary hujamaliza, basi ndo maana ulikuwa na thread za ajabu ajabu.
Ila hapa Utarudi tu.
Na kitu kingine ni kuwa siamini maana kwa ulivyo mbea lazima unhetwambia kipindi wafanya process za visa