Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u

Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u

Umenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:

"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.

Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.

Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."

Wazee wenzangu watakumbuka!

Asante sana ndugu, Daaah! Umenikumbusha mbaaaali sana aiseee!
 
Nikajua mnahama kutoka magomeni kwenda magogoni,kumbe uchaguzi bdo wasalimie kanada waambie waache ushonga bongo hatuwafagilii.!
 
Hahahahaha dogo acha ushamba ni mambo ya kawaida......Ingekuwa huko Ulaya na Marekani mambo mazuri basi tungewaona wabongo wengi wakija kuturingishia mambo yao mazuri ya kutoka huko majuu.....kaka kule maisha magumu sana ndio maana ndugu zetu walioko huko wanaogopa kurudi....Tembea uone mengi..
 
Asante sana ndugu, Daaah! Umenikumbusha mbaaaali sana aiseee!
Kumbukumbu mujarabu pia ni dawa sahihi ya mfadhaiko wa akili hasa unaotokana na mihangaiko ya siku nzima ya kutafuta riziki yako na kwa ujenzi wa taifa lako! Nimejifunza kitu kupitia quote yangu kuwa wengi wetu miaka ile ya tisini tulikuwa aidha shule ya msingi au sekondari!
 
Hahahahaha dogo acha ushamba ni mambo ya kawaida......Ingekuwa huko Ulaya na Marekani mambo mazuri basi tungewaona wabongo wengi wakija kuturingishia mambo yao mazuri ya kutoka huko majuu.....kaka kule maisha magumu sana ndio maana ndugu zetu walioko huko wanaogopa kurudi....Tembea uone mengi..


usiwasemee wote ,kama wa kwenu hawarudi usimjulishe wote
 
Umenikumbusha kitabu cha "Kusoma" cha darasa la pili enzi hizo elim ni elimu katika kichwa chwa habari kilichosomeka "KUHAMA" tulikuwa tunasimamishwa mmmoja mmoja kusima. Kilianza hivi:

"Kuhama. Mimi na Baba yangu, na Mama yangu, na wadogo zangu na dada yatu tulihama.

Mimi na Baba yangu tulikaa nyuma. (ya roli la mchanga) Mama na dada na wadogo zangu walikaa mbele.

Tuliona miti na milima ikikimbia kurudi nyuma!...."

Wazee wenzangu watakumbuka!

Dah ww ----- unakumbukumbu kali sana.... Naikumbuka hiyo story
 
We nenda na nchi tutachukua, kisha tutamfuata huyo mzazi wako arudishe hela zetu halafu atumikie adhabu yake segerea. Akimaliza adhabu yake atarudi huko Canada mwendelee na maisha. Pia kama ukipita pale kwa Obama,mpe taarifa yule marehemu aliyekufa akazikwa kwa magumashi kwamba tutamfuata nayeye hata akiwa skeleton ili aje arudishe pesa yetu na atuambie wenzake waliogawana naye. Sisi tuna shida na pesa yetu,hakika baba yako atazirudisha tu hata mwende mwezini.
Safari njema na safiri salama.
 
Aaga mtaani kwenu. Hapa JF ni kijiji haijalishi uko wapi tuko pamoja.
 
Nlikuwa najiulizaga sana kila nkisoma vi"threads" vyako,kumbe bado dent tena wa secondary,alaf hujakarbia hata kumaliza 😄 😄 😄 😄,(huku uliishia laboratory rules ktk chemia jitahid na huko zinaweza kukusaidia maana lab ni zile zile)
 
mimi nipo CANADA niambie mtafikia wapi niwapokee!!!!!!!!!! wewe, baba, mama na wadogo zako. :A S wink::A S wink:
 
Ukifika uko usiwe na wasi utaweza bado kuingia jamii forum. Nakutakia kila la kheri
 
Sababu una uraia wa Tanzania. Utarudi tu wangapi wameenda huko na wakarudi.
Kumbe hata secondary hujamaliza, basi ndo maana ulikuwa na thread za ajabu ajabu.
Ila hapa Utarudi tu.
Na kitu kingine ni kuwa siamini maana kwa ulivyo mbea lazima unhetwambia kipindi wafanya process za visa

Canada bado ni habari ya mjini kuingia kuishi ukizingatia vinavyohitajika.
 
Back
Top Bottom