Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u

asanten sna mliontakia safar njema. tumefka salama. mazngra ya hku ni mazur sna. nyumban kna wireless ntakuwa nawapatia habar za uku kla cku. nkiwepo home
 
Mimi nipo Mars na ninaipata Jf.........nini Canada bana.............

Hata Mimi nipo mgwashi sitimbi huko Bumbuli wala umeme haupo na hakuna 3G kuna G lakini JF naipata fresh swaafi hahahahahahah
 
asanten sna mliontakia safar njema. tumefka salama. mazngra ya hku ni mazur sna. nyumban kna wireless ntakuwa nawapatia habar za uku kla cku. nkiwepo home

haya ila usisahau masomo ni muhimu hivyo soma kwa bidii mpaka wazungu washangae.

hapo ulipoandika wireless mmmh wireness nini? au unamaanisha wireless internet, kama ndio hivyo basi vizuri ila angalia usije ukawa addicted na mitandao.
kila la kheri
 

Ukikua utajua hata huko canada jf ipo. Mm niko USA mwaka wa kumi sasa na jf ni kama Mcdonalds!
 

Umenikumbusha mbali sn. Mfn tola njaa kulia gizani...
 

Nimecheka sana. Hii ndo jf
 
haya ila usisahau masomo ni muhimu hivyo soma kwa bidii mpaka wazungu washangae.

hapo ulipoandika wireless mmmh wireness nini? au unamaanisha wireless internet, kama ndio hivyo basi vizuri ila angalia usije ukawa addicted na mitandao.
kila la kheri
namanisha wifi. asnte ntasoma kwa bdii
 

Have safety journey and welcome ... My dear huku ukishakaa kwa muda trust me you will miss home Tz so much.. Maisha ya huku yanachosha kuna kipindi. Too much stress.. Please you are blessed to get a opportunity to study here in Canada please I beg you, use this chance wisely and always listen to your parents and keep God in everything you do .. I wish you the best ... Thanks..
 
Mlipita chalinze? hehehehe
 
Mmh humu JF kiboko,mtu kawaaga lakin full kukosolewa na kudhihakiwi eeh mbona hampendeki..kazi yake huko Canada ni kusoma sio kuchati.mbadilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…