mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Ninawaaga my fellow members kesho tunasafiri mi na wazazi wangu na wadogo zangu tunahama Tanzania. Wazazi wangu wanaamishia makazi Canada kikazi. Nitamaliza my secondary education & university huko huko Mungu akipenda. Sina uhakika kama nitarudi tena Tanzania.
Nitawamiss sana, Luv u all
Kwa hiyo?