"Bye Daddy"...... Dah!!!

Dah!kiukweli raha sana kupendwa na baba,
Ila wamama huwa hawaipendi kbs hiyo situation,
Mpaka sasa ata sielewagi ni wivu au basi tu!!!
Nasubiri wakati wangu nijionee itakuwaje?au nitajisikiaje?
 


Bye dadii!
 
Dah!kiukweli raha sana kupendwa na baba,
Ila wamama huwa hawaipendi kbs hiyo situation,
Mpaka sasa ata sielewagi ni wivu au basi tu!!!
Nasubiri wakati wangu nijionee itakuwaje?au nitajisikiaje?

that is nature my dia, kuna mtu ameilezea vizuri tu hiyo hali, just prepare yourself for the best!
 
hahahaaaaa ... mkuu nimechungulia hapo ikabidi nikae kimya tu ... hizi thread za babu hizi huwa hazichelewi kuwatoa nyoka pangoni!
Hii post lazima shem wangu aililie wivu hii.......

Mzima kiongozi?

Bye Daddy.......... dah!
 
Sijambo Anti. Niko busy kidogo naosha vyombo hapa, ila nachungulia pia jukwaa kimachale machale.

Hakikisha vitakate.... andaa na chakula cha jioni... Usisahau chai ya mjombako jioni.....lol

Sikujua kumbe hata mie wanioneaga wivu lol

Tatizo na wewe ODM sifa zikikuzidi utaanza kuongea Kichina hapa.....lol

..asee ashadii apo juu umenifurahishaaajeeeeee?


Yaaan Teamo hujanitendea haki kabisa.... Bado sielewi ipi hasa imekufurahsha (ili nirudie siku nyingine) mana nimepost nyingi....:biggrin:
 
sikuwahi ona hilo aisee, honestly i always was defining u the other way round! ... deeply sorry!
kwa kweli na-deserve hiyo sorry........... I am so gender sensitive!
ni mke na mama wa watoto 3, hako kawifi ka Matesha tunakogombania DAD, mume mtarajiwa wa Matesha (ha haaaaaaaaaaaa, baba Matesha, nadhani deal bado lipo intact) na shem wa Matesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…