Sikonge ...hata unachokiongea hukijui na unalete blaa balaa tu na pengine hiyo shule hujaenda, mimi siyo mbumbumbu kama wewe.kaka tatizo mtu unakuwa na master au Bachelor it doent matter ya nini sasa huyo ulitolea mfano hapo ana MBA na hata hajasomea biashara lakini jua ya kuwa ana Bachelor ya IT na ndiyo maana amechukua MBA.kitu muhimu hapo ana degree ya kwanza wewe inaonyrsha huo utaratibu wa kusoma hata huujui. lakini sasa Slaa hana hiyo degree ya kwanza wala master hana iwe ya kitu chochote kile basi hana. sasa inakuwaje amesomea PHd moja kwa moja na hiyo Phd yake ina masharti ambayo yamekwisha kuwekwa lakini yeye alikuwa hana ngojea ninakuwekea tena inaonyesha wewe hujui kabisa kitu kinaongelewa hapa..Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.
Hebu niambie sikonge Slaa alikuwa na hiyo Prerequisites inayotakiwa ili aweze kuchukua hiyo Phd ya canon law..usiwe unaleta blabalaa zako hapo. mimi nataka hivyo tu nitajie amechukua wapi na lini?
Sikonge wewe hunijui mimi kwa hivyo kitu chochote ninakachokukuambia kuhusu elimu yangu haitosaidia kitu lakini nina uhakika kutokana na maelezo yakoninavyoyasoma IQ yako iko below everage katika SD curve wewe ni outlier upande wa left. Slaa ni mchakachuaji wa elimu kama wengine just admit au tuleteeni vielelezo na siyo blabbing..