wowwww hapo umeshasema amesoma miaka 5 na amemaliza na master kumbuka ni miaka 5 na siyo 2 ya master siyo IT tu najua kuna vyuo ambacho nilikuwa ninasoma education unasoma miaka 5 na unatoka na master nasisitizia zaidi time period ya miaka 5 nazni umeshafahamu lakini Slaa yeye amesoma miaka 3 tu ametoka na Phd unataka kuniambia ni sawa na huyo anaesoma miaka 5 kuondoka na master.mimi sina chuki na Slaa hata siku moja na nina respect utendaji wake wa kazi na dedication yake kwa Tz na hujanisikia kuwasifia hao atu wengine elimu zao na utendaji wao wa kazi hata simu moja na lengo la maada hii si kuangalia Slaa utendaji wake wa kazi na sijadhaurau au kubeza kabisa utendaji wake wa kazi. lakini mimi tatizo liko pale kwa wale wapenzi wa Slaa wanapotoa sifa kemkem juu ya elimu yake na kufuja za wengine huku kumbe na yeye elimu yake ina mashaka kama hao wengine.. hamuoni hii ni double standard?na hilo siyo kosa la Slaa kabisa bali ni kosa la hao fanatics wake. na kupa big up kwa uvumbuzi wako wa IQ curve -1 to + 1 keep it up huwezi kujua.
Na ahsante sana Dr W.Slaa kwa ushauri wako
Na ahsante sana Dr W.Slaa kwa ushauri wako