C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.

C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.

Naona wengi wamevamia tu kujibu na kuonyesha hisia zao. Neno padre linatokana na neno Patron,, kumbuka patrilinear.Kimsingi padre maana yake ni 'BABA', halina maana nyingine zaidi. Ila kutokana na tamaduni na mazoea tunaipeleka moja kwa moja kwenye dini. Hapa tunakosea. Ndio maana sala kuu ya wakristu wote 'BABA YETU ULIYE MBINGUNI' Inaanza kwa kilatini patre nostre to mean our father. Sasa Kumwita Dr Slaa padre ni sawa kabisa. Hata wewe ni padre kama ni mwanaume rijali na umekamilika. Endelea kutafuta elimu ACHA UMBEA.
 
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?


Kuna siri kubwa hapo.

MBONA RAFIKI YANGU PADRI PRIVATUS KARUGENDO anaitwa hivyo mpaka leo japo Upadre walimuachisha kwa sababu za misimamo yake dhidi ya kanisa katoliki. Sioni sababu kwanini Slaa asiitwe?
 
Naona wengi wamevamia tu kujibu na kuonyesha hisia zao. Neno padre linatokana na neno Patron,, kumbuka patrilinear.Kimsingi padre maana yake ni 'BABA', halina maana nyingine zaidi. Ila kutokana na tamaduni na mazoea tunaipeleka moja kwa moja kwenye dini. Hapa tunakosea. Ndio maana sala kuu ya wakristu wote 'BABA YETU ULIYE MBINGUNI' Inaanza kwa kilatini patre nostre to mean our father. Sasa Kumwita Dr Slaa padre ni sawa kabisa. Hata wewe ni padre kama ni mwanaume rijali na umekamilika. Endelea kutafuta elimu ACHA UMBEA.

Umeanza vizuri sana katika ufafanuzi ako lakini mwisho ZERO.
Pole sana
 
Nafikiri kwasababu sasa hivi kauacha na sasa ni mwanasiasa mashuhuri na mwenye weledi wa kutukuka na hataki kujipa masifa na mavyeo asiyo yafanyia kazi na wala hana majukumu nayo ,...in short hapendi unafiki/ni mcha Mungu.
 
kalamazoo umeingia choo cha kike. Wagalatia huwambii lolote kuhusu bwana wao slaa. Ungeleta hoja ya kumbeza jk ungesifiwa kama great thinker. Hii utaambulia matusi subiri uone
 
It seems jamaa hafahamu vizuri the history, sina kumbukumbu mie kokte ambako Dr. Slaa aliwahi kataa kuitwa padri? sidhani kuna siku alitoa wasifu wake akakana au akasahau sema aliwahi kuwa Padri. Jina la Upadri lilikoma mara baada ya kuachana na hiyo kazi ya utumishi na kufuata mambo ya dunia ili kulinda hadhi ya imani yake akaamua aachane na hilo jina
 
Inaonekana wewe mimba yako ilitungwa babako na mamako walipotoka kilabuni kunywa chang'aa. Ukome kuleta wendawazimu wako humu!!
 
IGWE hivi we mgalatia ninani aliyekuroga kwamba mchamungu ni mzinifu,tena anayepora mke wa mtu na kusema mchumba'ake. Hayo sio mapenzi bali umerogwa!
 
kalamazoo umeingia choo cha kike. Wagalatia huwambii lolote kuhusu bwana wao slaa. Ungeleta hoja ya kumbeza jk ungesifiwa kama great thinker. Hii utaambulia matusi subiri uone
 
Naona wengi wamevamia tu kujibu na kuonyesha hisia zao. Neno padre linatokana na neno Patron,, kumbuka patrilinear.Kimsingi padre maana yake ni 'BABA', halina maana nyingine zaidi. Ila kutokana na tamaduni na mazoea tunaipeleka moja kwa moja kwenye dini. Hapa tunakosea. Ndio maana sala kuu ya wakristu wote 'BABA YETU ULIYE MBINGUNI' Inaanza kwa kilatini patre nostre to mean our father. Sasa Kumwita Dr Slaa padre ni sawa kabisa. Hata wewe ni padre kama ni mwanaume rijali na umekamilika. Endelea kutafuta elimu ACHA UMBEA.
Asante kwa maelezo ya kina.
 
Acha ukichaha wako wewe Slaa siyo padri. Hivi wewe una akili timamu.
 
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
Yaelekea Kalamazoo bado umevimbiwa pilau za mafisadi huko CCM. Kwa vipi aendelee kuitwa Padri wakati alijivua kwa hiyari madaraka yale kwa idhini ya Kanisa? Upadre si Usheikh ambao hata mimi naweza kuwa addressed kama Sheikh. Jaribu kutumia kichwa kufikiri badala ya viungo mbadala. Ninavyoelewa mimi hakuna hicho cheo cha Padri Mstaafu bali maskofu maana wao wana vipengele vya kustaafu nyadhifa zao lakini hili la Padre Mstaafu umetokosa. Pole.
 
Yaelekea Kalamazoo bado umevimbiwa pilau za mafisadi huko CCM. Kwa vipi aendelee kuitwa Padri wakati alijivua kwa hiyari madaraka yale kwa idhini ya Kanisa? Upadre si Usheikh ambao hata mimi naweza kuwa addressed kama Sheikh. Jaribu kutumia kichwa kufikiri badala ya viungo mbadala. Ninavyoelewa mimi hakuna hicho cheo cha Padri Mstaafu bali maskofu maana wao wana vipengele vya kustaafu nyadhifa zao lakini hili la Padre Mstaafu umetokosa. Pole.

mkuu Sheikh sio cheo wala halina uhusiano na Uislam ni neno la kiarabu tu tafsiri ya neno hilo ni mtu mzima 'mzee'
 
Dr. Slaa ana uwezo mkubwa sana kielimu kuliko mtu aliyeko madarakan na kuthibitisha hili nimeamua kuonesha C.V yake ya kuonesha kiwango chake cha Elimu na Ufasaha wa mambo yake. Kumbe ni haki awasumbue wana CCM kwa hoja zilizoenda shule kama yeye.
NAWASILISHA.
 
JK alikuwa desa mlimani! kisha kaishia kuwa mwajiriwa wa usalama wa taifa kupitia CCM alafu wakampeleka monduli............. mengine malizieni wenyewe.
 
Nampenda Dr. Slaa kama mmoja wa viongozi ninaodhani (bila kujali itikadi ya chama) wanaweza kuwa na manufaa kwa Taifa mbeleni. Lakini napitia kipengele kidogo cha CV yake kama kinavyoonekana hapa chini

. PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
2. Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
3. Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
4. Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
5.Mbunge wa Karatu 1995-2010

Ni dhahiri kwamba Dr. Slaa ametumika sana kanisanai mwa Bwana. Sasa najiuliza sana nini kilimtoa kanisani/madhabahuni na kukimbilia siasa? Je alifukuzwa huko kanisani? Na kama alifukuzwa kuna mwenye data ni kwanini? Au ni kiu tu ya kuwa RAIS? Au kuna zaidi ya hilo? Je kondoo wa Bwana walimshinda na sasa anataka awachunge watanzania?
Ni hayo tu
 
Back
Top Bottom