Mkuu ukimaanisha nini hapa? Jamani tutumie tu kiswahili kama lugha yetu tunakazania kiingereza kumbe kinatuaibisha!
Kamuulize askofu atakusaidia si ume graduate st..wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ukimaanisha nini hapa? Jamani tutumie tu kiswahili kama lugha yetu tunakazania kiingereza kumbe kinatuaibisha!
Siyo padri ..padre hawezi kukaa na mke wa mtu..bila kufuata taratibu ok
Slaa is morale died person (decay)
jamaayangu rev. Masanilo naomba nikurekebishe tena na leo katika matumizi ya kiswahili, sio mfaidhina wanaitwa mhafidhina au wakiwa wengi wahafidhina,usinichukie lakini my friend.Mfaidhina akiwa na akili za tope kazini!
jamaayangu rev. Masanilo naomba nikurekebishe tena na leo katika matumizi ya kiswahili, sio mfaidhina wanaitwa mhafidhina au wakiwa wengi wahafidhina,usinichukie lakini my friend.
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
Ungeenda kuwauliza hao wanaomuita, pumbavu mkubwa wee.
Si kila cheo huwa kinaendelea hata baada ya kuacha au kustaafu, mfano mtu aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya au mkoa, nk. akistaafu huwa bado anaitwa kwa cheo hicho?
GROW YOU TODDLER, GROW...
mkuu dr. Slaa si padre,aliondolewa daraja Takatifu na mkuu wa kanisa la imani yake,PAPA. Hapa alipata mamlaka kutoa katika wito aliochagua kabla na kuendelea na maisha yake yasiyo ya kitawa. Ukimwita Padre hatakana wala hatosema umemkosea adabu,hapana atatabasamu na kukusikiliza,ila hana mamlaka ya kanisa kama padre,kama sikosea anaweza kuendesha ibada yake peke yake bila kuwaalika watu. Kila imani ya mtu ina heshima yake,tuheshimiane.Kama una swali jingine uliza ila si kumkejeli dr.slaa. Mwisho,upadre ni ngazi moja katika daraja takatifu. Si huyu pekee wapo zaidi ya 50 wenye nyazifa kubwa serikalini na tukiwataja utashangaa! Hapa si kujitukuza,mtu akiacha wito anatoka kwa amani na kuendelea na maisha mengine na kamwe hawezi kutoa siri za Utawa!
hapana mimi si mhafidhina mimi ni peoples power kama wa misri wasioogopa kufa kutetea hakizao,ila hapa kwetu peoples power hatuna umoja,polisi wakijamba sisi tunavunja miguu kwa kukimbiaHaina shobo wewe ni mhafidhina?
hapana mimi si mhafidhina mimi ni peoples power kama wa misri wasioogopa kufa kutetea hakizao,ila hapa kwetu peoples power hatuna umoja,polisi wakijamba sisi tunavunja miguu kwa kukimbia
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
We dogo ni ******!Kamuulize askofu atakusaidia si ume graduate st..wewe?
Senk yuu Masa Reverend for zis usefuli post.Nina wasi wasi sana na wewe! Nimepitia thread zako wewe ni kama Mrs CCM yaani CUF hahahahahahaha
Hivi kwanini wajahidina hawapendi kuitwa waongo?
Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
siyo padri ..padre hawezi kukaa na mke wa mtu..bila kufuata taratibu ok
slaa is morale died person (decay)
kasome wewe au chukua dictionary usijiabishe hapa jf?