Cabinet approves city status for 2 more towns

Hivi Nakuru ina international airport? Ina port? How about industries? Muache upumbavu wa kulamba matako ya Kenya. Stonetown, Mbeya, Tanga na Mwanza wanazo. Wakati plan for Dodoma to be a city is on working..
 
If Kisumu was elevated to city status? Mwanza and Arusha deserve too, they equal Kisumu. What I'm suprised is to learn Eldoret and Nakuru are not cities. While Mbeya is one of the city in Tanzania, frankly speaking Eldoret and Nakuru surpass Mbeya city by far not even close
 
they surpass them in terms of what? maybe population but if you are talking about infrastructure, Eldoret beats those large villages of Tanzania hands down...
 
Kwaiyo unafananisha Ulaya na Kenya? Didn't get your point yet.
No sifananishi Kenya na Ulaya, nilijaribu kuonyesha kuwa, Kenya kwa Tanzania ni sawasawa na Ulaya kwa nchi zenye majiji mengi makubwa duniani kama India, Mexico na Brazil lakini kwenye quality ya kimaisha miji hiyo isiyo na maghorofa mengi makubwa na yenye watu wachache inakuwa na maendeleo makubwa kuliko miji ile mikubwa yenye maghorofa mengi na watu wengi.
 
1. Nairobi
2. Mombasa
3. Kisumu
4. Eldoret
5. Nakuru
6. Thika
7. Athi river
8. Machakos
9. Malindi
10. Voi
11. Nanyuki
12. Embu
13. Kilifi
16 kitale
All these places have decent infrastructure, good size and an urban feel...they all have a minimum population of 300,000
 
Bring us Malindi photos.
 
i also forgot
Kericho
Lamu
Nyeri
Naivasha
Namanga
Kwale
Bungoma
KAKAMEGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…