Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Hapo juu tumezungumzia swala LA kununua kadet ambazo ni saiz kubwa na kuzidizain kulingana na saiz yako na muonekano unaoupenda ndio maana nikaongezea kuwa ukifanya hivyo ni sawa na kununua kitambaa.Ktambaa cha kadeti mkuu unapata mtu au ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,itakua hauko kwenye uchumi wa kati mkuuSasa kama Streetsouls mkanda (belt) wanauza 180,000 kadeti itakua bei gani?
Bora nikanunue Mr Kadeti 10 zipauke taratibu.
Kumbe crimea ni he?nilijua ni sheMimi wife wangu alinunuliaga 2 nzuri kweli, nikavaa akafua, aisee ilibidi niwe naendea nazo kwenye banda la kuku tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila zile nzito ngumu zipo lakini bei yake ni kuanzia elfu 35 chini ya hapo hupati kabisa.
Ngoja yule dogo ntamwendea alafu ntakupa mrejesho!
Kiukweli zile 3 alizoniuzia hazijawahi kubadirika rangi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ID fake tu hizi mkuuKumbe crimea ni he?nilijua ni she
Heshima yako mkuu
Kwa wauzaji wengi wa Tanzania, mizigo wanatoa China.
Huko China kuna classes, kuanzia za bei ndogo ambazo tunakuja kuuziwa elfu 17-20 hadi za bei kubwa, ambazo tunakuja uziwa elfu 40+.
Tanzania tunapenda vya bei ndogo. Za kuvutika bei ndogo. Zinapendwa.
Ila cardet kali zile nzito nzito mzee baba.
Ni kweli ila kwa sisi vijana mtu akanunue kitambaa ni mgumu.Hapo juu tumezungumzia swala LA kununua kadet ambazo ni saiz kubwa na kuzidizain kulingana na saiz yako na muonekano unaoupenda ndio maana nikaongezea kuwa ukifanya hivyo ni sawa na kununua kitambaa.
Mimi kadeti zinanishinda kwenye size tu inakuwa kituko tunakuta kampuni ya jeep namba 34 ndo size yako sasa ukija kampuni nyingien Kama docker unakuta size yako ni 36 na bado huku Kwenye mapaja inabana yaani inakuwa ni mtihani mzigo kweli pale mtu anapokiambia unavaa size ganiMkuu. Nina cadeti ndani kama 15 hivi. Yaani zote hazifai ata kuziangalia.
Staff Jeans ninazo 2 tu nilizibahatisha Kariakoo ata duka silikumbuki. Atleast hizo naona zinanisaidia saidia.
Hafu sijui nini kimetokea, kuna kadeti nilinunua zamani naona hadi leo zipo fresh ni nzito hafu bei ya kawaida tu.
Ila kama umewahi jaribu, cadeti za khaki ngumu sana kupauka kwasababu ya rangi yake, ila izi za rangi rangi rahisi sana kuonekana zimepauka.
Ukishaapinguza kadeti inapoteza shep yake ya msingiYes mkuu,huu uchawi watu wengi hawajaufahamu.
Mtumbani kuna kadet nzuri sana lakini over size,watu wengi hawajui kwamba ile unaichukua kisha unaenda kwa fundi anaidizain fresh anaimodoa inanyooka fresh.
Mimi ninanunuaga kwa jamaa alfu 8 lakini jamaa anasubiri mpaka tarehe za miashahara ndo anazifungua kadet,mbali na tarehe hizo hafungui.
Wengi wakiona kadet oversize wanaacha,wajanga tunanunua kwa apfu 7 kisha kuounguza alfu 3 unakuwa umevaa kadet safi nzito kwa buku 10 tu maisha yanasonga.
Mimi nguo zangu nyingi mtumba tu
Ukishaapinguza kadeti inapoteza shep yake ya msingi
Shida ya nguo za Mtumba wauza mitumba huwa wanazipaka mafuta ya cherehani.Unaponunua unaona inang'aaa ukienda kufua na kuvaa imepaukaaa.Nguo ikipakwa mafuta ya baiskeli au cherehani inang'aaa kumbe hamna kitumkuu karume upande gani hapo kunakuwa na kadeti na jeans za kijanja quality? Ila hapo palivyo na purukushani ya wahuni siwatakwangua Rangi gari yangu!!!
Yes,na huo ndio ujanja wao, halafu huo ujinga wanafanyaga mchana kweupeShida ya nguo za Mtumba wauza mitumba huwa wanazipaka mafuta ya cherehani.Unaponunua unaona inang'aaa ukienda kufua na kuvaa imepaukaaa.Nguo ikipakwa mafuta ya baiskeli au cherehani inang'aaa kumbe hamna kitu
Wapi mkuu unapataga cadet za mtumba nzuriHivi kadet og ina sifa gani za ziada mkuu ?
Mimi huwa kuna mshkaji wangu huwa ananishtua akifungua mzigo wa mtumba nachagua kadet nzito kali(kwa ninavyoona) naenda kuounguza kama ni kubwa.
Kumbe nawe ushashuhudia huo mchezoHzo za karume mnazipaka mafuta ya nazi. Znang'aaaa ila ukifuaa mara moja tu kwisha habari yake
Kweli,unapompelekea suruali fundi anakwambia buku mbili tu anarekebisha fulesh huko ni kubet na nguo haiwez nyooka lazima itakua na upinde.
Kuna mafundi uchwara ukipeleka nguo anaipunguza hipsi tu matokeo yake mifuko ya mbele inarudi nyuma yani mtu anavaa nguo mifuko ya mbele iko kwenye hipsi inakaribiana na mifuko ya nyuma.Kweli,unapompelekea suruali fundi anakwambia buku mbili tu anarekebisha fulesh huko ni kubet na nguo haiwez nyooka lazima itakua na upinde.
Sio kweli,hao ni mafundi uchwara mzee.Ukishaapinguza kadeti inapoteza shep yake ya msingi
KweliKuna mafundi uchwara ukipeleka nguo anaipunguza hipsi tu matokeo yake mifuko ya mbele inarudi nyuma yani mtu anavaa nguo mifuko ya mbele iko kwenye hipsi inakaribiana na mifuko ya nyuma.
Ukimpata fundi wa kweli anaifumua yote anakupima upya kabisa.
Kitu cha muhimu uwe na vipimo vyako unajua kiuno unava ngapi,paja unavaa ngapi,urefu ngapi hapo utaenjoi
Original zake ni UK. Ila hapa nimezungumzia za 35k - 40k za China ila zina ubora mzuri.Lebo yake zinatokea wapi hizo?