Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo Takwimu ulizipata kwenye source ipi ya habari?Na hata kuwa kwenye top 10 ya vilabu bora africa ni juhudi binafsi za Mo vilevile
Kwanini simba haipo?Angalia hiyo picha vizuri kuna hadi Marumo hapo kwahiyo na wao ni wakubwa
Hio ilikua game ya super cup 1994 huyo Stella wenu yupo wapi? mkiambiwa kombe lenu lilikua la bonanza mnanunaConfederation haijaanza 2004, kwenye huo mwaka ilibadilishwa tu jina
Mshindi atakuwa nani?Marumo na Yanga wamewekwa kama bosheni tu hapo ila mshindi anajulikana
Sina haja ya kuhangaika na wewe kaa na ujinga wakoNipe utofauti kati ya list na hiyo line up
Sawa ila nyie hampoMuhimu umekubali kuwa hamtashinda
Kwa mwaka jana ni timu bora kwenye michuano ya CAF. Nyie mikia ilishalowa tope kipindi wao wanaendelea na michuano ya CAF.Timu bora Africa za mchangani maana hadi Marumo yupo hapo
Sawa, naomba nijifunze toka kwako kwa nia moja tu mkuu. Hivi Enyimba, wale waangola na TP Mazembe Waliigia kwa kigezo gani?Timu bora Africa za mchangani maana hadi Marumo yupo hapo
Na Marumo nao wanasema hivyo hivyoHaiwezekani tushinde wote cha msingi tupo hapo
Simba, Mazembe, Enyimba wapo kwenye top 8? leta reliable source hapaSuper league zilishiriki timu 8 kati ya kumi bora zaidi Africa, una jingine ?
Enyimba.Super league zilishiriki timu 8 kati ya kumi bora zaidi Africa, una jingine ?
AahaaaaaaKawaombe utopolo wenzio [emoji23][emoji23]