CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

Confederation haijaanza 2004, kwenye huo mwaka ilibadilishwa tu jina
Hio ilikua game ya super cup 1994 huyo Stella wenu yupo wapi? mkiambiwa kombe lenu lilikua la bonanza mnanuna
IMG_20231101_121322.jpg
 
Kwa mwaka jana ni timu bora kwenye michuano ya CAF. Nyie mikia ilishalowa tope kipindi wao wanaendelea na michuano ya CAF.
Malizia kombe la mbuzi
 
Sawa, naomba nijifunze toka kwako kwa nia moja tu mkuu. Hivi Enyimba, wale waangola na TP Mazembe Waliigia kwa kigezo gani?
Ni timu zenye ushawishi kuliko vyura wa jangwani
 
Back
Top Bottom