Nusu fainali ya Confederation Cup.Marumo alicheza champions league?
Mwakarobo FC."Hoooo tupo na wakubwa wenzetu huku........"
Haya wakubwa wenzenu tupo nao kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za CAF.Nyie mnaojiita wakubwa mpo wapi hatuwaoni hapo.
The best of the best. [emoji772]
Your nominees for Club of the Year (MEN) award are here!
#CAFAwards2023View attachment 2799980View attachment 2800054
Wa Robo havai nusuUkiangalia hiyo list hakuna timu iliyoishia robo fainali,zote ni nusu na fainali. Ndio ujue hata kuku robo huwezi kula ukashiba.
Ongezea tupo na wakubwa wenzetu au Al Ahly, Mamelod na Wydad leo zimekuwa timu ndogo.Mpo na Marumo wenzenu
Una ubishi wa asili hivyo sikuwezi.Nusu fainali ya confederation ni sawa na group stage ya Cafcl, ukibisha naweka miaka uliyochukua kufika group stage ya champions league
Kafika nusu fainali ambayo wewe hujawahi fikaKwahiyo Marumo ana mafanikio gani ya uwanjani ?
Kwa hiyo Al Ahly, Mamelod,Wydad,ES Tunis huwaoni au nao wadogo.Wakubwa wenzenu akina Marumo [emoji23]
Ulishawahi kumtoa?Simba amecheza mara ngapi na al ahly knockout stage, au unajitoa ufahamu tu
Hahahaha π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.Ukiangalia hiyo list hakuna timu iliyoishia robo fainali,zote ni nusu na fainali. Ndio ujue hata kuku robo huwezi kula ukashiba.
Fika kwanza hio nusu then uongeeNusu fainali ya confederation ni sawa na group stage ya Cafcl, ukibisha naweka miaka uliyochukua kufika group stage ya champions league
Una mafanikio gani kumzidi Yanga?Una mafanikio gani ya kumzidi enyimba ?
Malumo kumbe nao wamo.ππThe best of the best. [emoji772]
Your nominees for Club of the Year (MEN) award are here!
#CAFAwards2023View attachment 2799980View attachment 2800054
Hujui?Raja Casablanca alicheza nusu fainali ya wapi, mbona kama hujielewi ?
Basi mtoe Raja ukae weweRaja hakuishia robo ?