CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

Makombe na medali ya CAF,bila kusahau nimekufinga mechi na magoli mengi kuliko timu yoyote ile Duniani.
Simba ndo timu yenye makombe mengi zaidi ya jumla ( mashindano yote) kuliko klabu yeyote Afrika mashariki na kati
 
Hapa ndio utajua jinsi gani CAF wapo serious sasa,sio ile futuhi ya AFL.
 
Nusu fainali ya confederation ni sawa na group stage ya Cafcl, ukibisha naweka miaka uliyochukua kufika group stage ya champions league
Unajitia aibu tu,caf walioiweka marumo pale sababu ya kufika nusu fainali hawana akili?
 
Hahaha simba hawajatoa bahasha wangetoa mngewaona kwenye list hapo
 
𝗖𝗔𝗙

Wanakunyonga kwenye mishe za hela kama AFL wanakuweka kwenye list na Malumo Gallants kukumeneji [emoji16]
 
Kolo koloni...mwakarobo efusii.. Wazee wa Kufa Kiume kapu?? Hatuwaoni kwenye chat hapo juu.
Makolo ukubwa wao ni wa robo tu.
 
Your nominees for Club of the Year (MEN) award are here!

#CAFAwards2023

============

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza Timu za Taifa, Vilabu na Wachezaji wanaowania tuzo hizo mwaka 2023 ambapo Taifa Stars ya Tanzania itachuana na Timu za Taifa za Cape Verde, Gambia, Guinea Bissau, Equatorial Guinea, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia na Senegal.

Kwa upande wa Vilabu, Mabingwa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga Africans inashindana na CR Belouizdad, USM Alger, ASEC Mimosas, AL Ahly FC, Raja CA, Wyadad AC, Mamelodi Sundowns, Marumo Gallants, na ES Tunis.

Tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika Desemba 11, 2023 Nchini Morocco, zimeiacha nje ya kinyang'anyiro Klabu ya Simba kutoka Tanzania.

Utawasikia kwamba hata wao walishawahi kuchagulia miaka fulani katika vipengele 10.
 
Kolo koloni...mwakarobo efusii.. Wazee wa Kufa Kiume kapu?? Hatuwaoni kwenye chat hapo juu.
Makolo ukubwa wao ni wa robo tu.
Baada ya kumaliza mkiani mwa kundi mtaiheshimu hiyo robo
 
Back
Top Bottom