CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

Na 1993 Simba alifika fainali wakati huo wakitumia Caf Cup ambayo ndio CAF Confederation Cup kwa sasa.
Wanajua ukweli lakini wanajitia vidole puani kujifanya mazuzu ili wakwepe ukweli.
 
Basi tumalize utata tuletee orodha ya washindi wa confederation cup tangu lianze
 
Angekuwepo Luis Jose Miquesone Al Ahly wangepiga hata bao 9!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…