CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

Simba hawako realistic when it comes ishu za malengo. Malengo lazima yazingatie Resources zako, Management nk.
Yanga wako mbali kiuongozi, Kiutendaji, Kiuchezaji nk lkn always wako calm na mipango yao ni ile inayoelezeka.

Simba wanajipa malengo ambayo hayapo kiuhalisia. Mpira hawajui, always wanacheza jihadi tu uwanjani na sip vipaji.

Sasa kwa wenye akili hao Yanga ndio wanaenda mbali, kwa kuwa hawachezi kwa presha wala nini, Next Season Yanga wana nafasi ya kufika hata Fainali ya CCL kwa kuwa wana malengo yasiyo na presha na yenye uwezo wao. Timu yenye, Mzamiru, Kibu, Sakho, Ntibazonkiza na mafamba mengine eti yaote ndoto ya kucheza nusu fainali CCL. Inachekesha sana hii. Mmeshindwa fainali ya MAPINDUZI mtaweza huko?

"MBUMBUMBU" (Rage I. Aden)
Umeandika kwa hisia, ushabiki, na si kitaaluma

Hakuna 4 quarter finals ya jihad/fluke/bahati/kisimati/zali ndugu yangu....acha ushabiki when it comes to reality... You just acknowledge them

Ingekuwa rahisi hivyo usingemaliza 20+ years hujacheza group stage ya champions league!

Labda ungesema malengo yao ni kucheza robo final kila mwaka!

Nawewe usisahau malengo hayakuwa kucheza confederation cup, mlisema kule ni kwa losers, mlienda kule Bahati mbaya baada ya kupigwa na Mohammed Abdulrahman wa al hilal ya Sudan... Acha uongo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Umeandika kwa hisia, ushabiki, na si kitaaluma

Hakuna 4 quarter final ya jihad/fluke/bahati/kisimati/dhali ndugu yangu....acha ushabiki when it comes to reality... You just acknowledge them

Ingekuwa rahisi hivyo usingemaliza 20+ years hujacheza group stage ya champions league!

Labda ungesema malengo yao ni kucheza robo final kila mwaka!

Nawewe usisahau malengo hayakuwa kucheza confederation cup, mlisema kule ni kwa losers, mlienda kule Bahati mbaya baada ya kupigwa na Mohammed Abdulrahman wa al hilal ya Sudan... Acha uongo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kama hajavimbiwa mihogo atakuwa amekuelewa ingawa siko sure kwani ushabiki maandazi ni ugonjwa.
 
Mmesahau nyie mlivyokandwa nahao majamaa kwapenalt mlivyokuja mkiwa kifua mbele nakombe lenu lakufa kiume mara oooh hatuwadai[emoji41][emoji41]
Hatukushangilia kupoteza kwa penati, tulifurahishwa na performance ya wachezaji ukizingatia na ukubwa wa Wydad.

Kumbuka Wydad sio Marumo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Umeandika kwa hisia, ushabiki, na si kitaaluma

Hakuna 4 quarter finals ya jihad/fluke/bahati/kisimati/zali ndugu yangu....acha ushabiki when it comes to reality... You just acknowledge them

Ingekuwa rahisi hivyo usingemaliza 20+ years hujacheza group stage ya champions league!

Labda ungesema malengo yao ni kucheza robo final kila mwaka!

Nawewe usisahau malengo hayakuwa kucheza confederation cup, mlisema kule ni kwa losers, mlienda kule Bahati mbaya baada ya kupigwa na Mohammed Abdulrahman wa al hilal ya Sudan... Acha uongo

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hili povu halina maana yoyote. Wanaume wamecheza FAINALI CAF CONFEDERATION CUP. Hakuna timu yoyote ya TANZANIA iliyowahi kufika hata NUSU FAINALI ya michuano hiyo achilia mbali FAINALI.
 
Simba hawako realistic when it comes ishu za malengo. Malengo lazima yazingatie Resources zako, Management nk.
Yanga wako mbali kiuongozi, Kiutendaji, Kiuchezaji nk lkn always wako calm na mipango yao ni ile inayoelezeka.

Simba wanajipa malengo ambayo hayapo kiuhalisia. Mpira hawajui, always wanacheza jihadi tu uwanjani na sip vipaji.

Sasa kwa wenye akili hao Yanga ndio wanaenda mbali, kwa kuwa hawachezi kwa presha wala nini, Next Season Yanga wana nafasi ya kufika hata Fainali ya CCL kwa kuwa wana malengo yasiyo na presha na yenye uwezo wao. Timu yenye, Mzamiru, Kibu, Sakho, Ntibazonkiza na mafamba mengine eti yaote ndoto ya kucheza nusu fainali CCL. Inachekesha sana hii. Mmeshindwa fainali ya MAPINDUZI mtaweza huko?

"MBUMBUMBU" (Rage I. Aden)
Hahaaa, wenye malengo ambayo yanatekelezeka mmetolewa hatua gani CCL? hao wenye mzamiru ndio walikukanda bao mbili wewe mwenye messi, ronaldo, mmbape na Mo salah
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Hahaaa, wenye malengo ambayo yanatekelezeka mmetolewa hatua gani CCL? hao wenye mzamiru ndio walikukanda bao mbili wewe mwenye messi, ronaldo, mmbape na Mo salah
Wakati mnaroga mchana kweupeee mfike hata Nusu fainali ilikuwa michuano gani?
 
Hili povu halina maana yoyote. Wanaume wamecheza FAINALI CAF CONFEDERATION CUP. Hakuna timu yoyote ya TANZANIA iliyowahi kufika hata NUSU FAINALI ya michuano hiyo achilia mbali FAINALI.
Kuna timu imefika nusu fainali ya Klabu bingwa ya Africa au kupenda mpira umeanza mwaka huu?
 
Hatukushangilia kupoteza kwa penati, tulifurahishwa na performance ya wachezaji ukizingatia na ukubwa wa Wydad.

Kumbuka Wydad sio Marumo
Hivi kushangilia kufungwa na wydad nakutolewa hatua yarobo fainali nakushangilia kuvaa medali yafainali yup hapo anaakili timamu
 
Hivi kushangilia kufungwa na wydad nakutolewa hatua yarobo fainali nakushangilia kuvaa medali yafainali yup hapo anaakili timamu
Hana akili huyo aliyeshangilia kuvalishwa Siso kwenye mechi dhidi ya timu inayojitafuta isishuke daraja.
 
Hili povu halina maana yoyote. Wanaume wamecheza FAINALI CAF CONFEDERATION CUP. Hakuna timu yoyote ya TANZANIA iliyowahi kufika hata NUSU FAINALI ya michuano hiyo achilia mbali FAINALI.
Hakuna timu iliyowahi kufika Nusu fainali achilia mbali fainali?

Hii umeiandika kama changamsha genge au umekusudia na unataka isomwe na Great Thinker yeyote?

Unaelewa kwamba mafanikio yeyote anayoonekana kupata Yanga kimataifa, haweki rekodi mpya kwenye uso wa nchi bali anaweka rekodi mpya kwa profile yake binafsi?

Yanga kufika fainali sio kuvunja rekodi, bali ni kuandika rekodi yake binafsi.

Muwe mnafatilia ni vitu vidogo vinavyotaka akili, uki lose concentration utajikuta unaonekana Joker.

Kama tu Azam Federation mnaamini Yanga ikifungwa utamfanya Azam ashiriki Club Bingwa na Simba ashuke shirikisho. Je hiyo haitoshi kusimama kama SI Unit kupima akili zenu?

Sasa vitu vidogo kama hivi vinawasumbua, jambo zito la Simba kucheza fainali utaliweza?
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hana akili huyo aliyeshangilia kuvalishwa Siso kwenye mechi dhidi ya timu inayojitafuta isishuke daraja.
Leta msimamo hapa halaf uone raja waliokupiga chuma 3 geto kwako anashika nafas yangap
 
Leta msimamo hapa halaf uone raja waliokupiga chuma 3 geto kwako anashika nafas yangap
Wako nafasi ya 6 na ligi inaendelea. Una swali la ziada. Haya wewe lete msimamo wa Algeria tuone USMA wapo wangapi?
 
Wako nafasi ya 6 na ligi inaendelea. Una swali la ziada. Haya wewe lete msimamo wa Algeria tuone USMA wapo wangapi?
Hamna kitu hao namwakan hata shirikisho hawapo hao wakulungwa wako
 
Back
Top Bottom