CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

Tofauti kati ya matured na immatured.

Hizi ndio sura ambazo matured huonesha pale ambapo wameshindwa kuchukua kombe.

Wamemaindi haswa angalia vizuri.

Sasa kuna kundi la lingine wiki mbili zilizopita la iliwachanganya sana watu. Hadi wale waliochukua kombe wakawa na wasiwasi wakaanza kujiuliza maswali "

"Mbona hawa hawajachukua kombe ila wamefurahi kuliko sisi"

tumedanganywa nini?"

Kuna viongozi wa juu kutoka FIFA walipewa mualiko kwenye hiyo fainali, basi wakati wa kuanza kutoa pongezi kwa mshindi al manusra pongezi ziende kwa Yanga maana muda huo USM ALGER ndiye aliyeonekana kama amekosa kombe.
View attachment 2654454
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo timu miaka na miaka inachezaga hivyo hivyo kwakuruka ruka kwa bahati ila ikishavuka makundi utaikuta fainali.
Na inachukua kombe kabisaa, huu mwaka kila mtu alijua leo hii Mamelody ndo anaondoka na mwalii, ila daaaah hata final hajagusa.
 
Al Ahly chupu chupu waondoshwe ktk makundi, eti leo anabebaa kombee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Soka ni mchezo wa kikatili sanaa. Daaaaah.
Argentina akafungwaga na saudia Arabia


Soka 🙌🙌🙌
 
Argentina akafungwaga na saudia Arabia


Soka [emoji119][emoji119][emoji119]
Ile siku nilikuwa nachekaa balaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kubwa kuliko, 2014 WC, German vs Brazil, Brazil alipigwa 7, japo hizo zote ni team zangu, ila nilikua nahisi ni ndotooooo, yaan nilikuja kuamini baada ya michuano kuisha.
 
Tofauti kati ya matured na immatured.

Hizi ndio sura ambazo matured huonesha pale ambapo wameshindwa kuchukua kombe.

Wamemaindi haswa angalia vizuri.

Sasa kuna kundi lingine wiki mbili zilizopita liliwachanganya sana watu. Hadi wale waliochukua kombe wakawa na wasiwasi wakaanza kujiuliza maswali "

"Mbona hawa hawajachukua kombe ila wamefurahi kuliko sisi?"

"Au tumedanganywa nini?"

Kuna viongozi wa juu kutoka FIFA walipewa mualiko kwenye hiyo fainali, basi wakati wa kuanza kutoa pongezi kwa mshindi al manusra pongezi ziende kwa Yanga maana muda huo ndio walioonekana wenye furaha USM ALGER ndiye alionekana kama amekosa kombe.
View attachment 2654454
Hiki kiherehere ungekitumia vizuri mngekua fainali leo
 
Ile siku nilikuwa nachekaa balaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kubwa kuliko, 2014 WC, German vs Brazil, Brazil alipigwa 7, japo hizo zote ni team zangu, ila nilikua nahisi ni ndotooooo, yaan nilikuja kuamini baada ya michuano kuisha.
Aisee zile 7up zitakaaga nizisahau. Brazil akiwa ndiye ame host world cup. Mbele ya mashabiki wake uwanja mzima
😀😀😀
 
unayo hata medali ya mapinduzi? msimu huu una kipi zaidi ya porojo?
Jibu haya maswali yako kwanza
Screenshot_20230612-005130.png
Screenshot_20230612-005106.png
 
Back
Top Bottom