CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

CAF Champion league Second Leg Final: Wydad Ac 1-1 Al Ahly Sc |Mohammed V

Aisee zile 7up zitakaaga nizisahau. Brazil akiwa ndiye ame host world cup. Mbele ya mashabiki wake uwanja mzima
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ilikua balaa ile siku khaaaah,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani ikitokea mshindi amekuwa yule ambae hamkumtarajia basi kigezo kinakuwa hiki?

Watu wanafanya biashara ili wapate pesa hapa, no way uandae fainali moja mechi iwe kama bonanza kwa kukosa mashabiki, upoteze pesa na burudani.
Mshindi nisiemtarajia kivipi? fainali yeyote aliejiandaa na atakaekuwa na bahati siku hiyo ndiye atakaeshinda. Sasa fainali unasemaje nisiemtarajia
 
Zilipendwa hizo,2023/2024 kama CAF CL Kama Shirikisho
Unapingana na Rais wako Hersi au umeshiba mihogo?Kahojiwa juzi kasema lengo 23/24 ni makundi.Unadhani kuingia makundi mchezo?Waliongukia pua ndio wanajua ugumu wake.
 
kwa hiyo hujui utaratibu wa medali za mshindi wa kwanza na wa pili halafu unapiga kelele hapa !
Sikujua kama mshindi anapewa ya dhahabu na loser anapewa siso
 
Ndio mjue mlivyo ma poyoyo sasa hivi mna komaa na kiatu kuna timu inaulizwa kiatu au robo finally?
Anayelilia kiatu anajulikana.Aliacha hata safari ikashindikana kushinda mwenyewe. Uzembe unaongoza kwa goli 7 unakutwa !
 
Wako wanaoishia raundi ya kwanza na inafanywa siri . Lengo lao ni makundi halafu kelele na ngebe nyingi!
Simba hawako realistic when it comes ishu za malengo. Malengo lazima yazingatie Resources zako, Management nk.
Yanga wako mbali kiuongozi, Kiutendaji, Kiuchezaji nk lkn always wako calm na mipango yao ni ile inayoelezeka.

Simba wanajipa malengo ambayo hayapo kiuhalisia. Mpira hawajui, always wanacheza jihadi tu uwanjani na sip vipaji.

Sasa kwa wenye akili hao Yanga ndio wanaenda mbali, kwa kuwa hawachezi kwa presha wala nini, Next Season Yanga wana nafasi ya kufika hata Fainali ya CCL kwa kuwa wana malengo yasiyo na presha na yenye uwezo wao. Timu yenye, Mzamiru, Kibu, Sakho, Ntibazonkiza na mafamba mengine eti yaote ndoto ya kucheza nusu fainali CCL. Inachekesha sana hii. Mmeshindwa fainali ya MAPINDUZI mtaweza huko?

"MBUMBUMBU" (Rage I. Aden)
 
Unaandika kwa mbwembwe lakini kwa ushabiki tu.Yanga wao wamefika fainali ya Mapinduzi?Kama ndio kigezo chako cha ufanisi?Hao unawaowataja ndio waliowafunga 2 bila.Hiyo timu yenye mipango imeshindwa hata kuingia kwenye makundi ya Champions League kwa misimu 2 mfululizo mkiwa mabingwa. Ndio muingie fainali ya Champions League?Ndio maana malengo yenu ni makundi. Simba wameingia robo fainali mara 3 sasa kwanini wasi aim higher?Au umeshiba mihogo?Kwa mujibu wa Hersi.
 
Back
Top Bottom