CAF Champion Leagues 2024/2025

CAF Champion Leagues 2024/2025

Yanga na watoto wenzao wanaanzia hatua za awali. Mtoto ni mtoto tu.
 
Mpaka waje wajipate inakuwa kazi kweli kweli.

Nimewahurumia sana Gor Mahia na Azam kwa sababu hakuna muujiza utakaowapeleka Group Stage.
Means hata msimu ujao waki qualify wataendelea kuteseka.
Kama hujawahi kuleta ushindani kwenye zile top 5 hakuna anaekuona. Jirani kitendo cha kumvimbia Mamelod kimeanza kulipa. Dawa ya kuwa Mkubwa ni kucheza na Mkubwa.
 
Kama hujawahi kuleta ushindani kwenye zile top 5 hakuna anaekuona. Jirani kitendo cha kumvimbia Mamelod kimeanza kulipa. Dawa ya kuwa Mkubwa ni kucheza na Mkubwa.
Ungewatajia kabisa Top 5.
1. Al ahly
2. Mamelod
3. Simba
4. Widad
5. Es. Tunis
 
Mna wivu sana nyio Utopolo
Hakuna cha utopolo wala lunyasi hapa.
Wakati yanga wana mchumua molinga watu tuliojua boli tulisema yanga hawezi beba ubingwa.
Sasa wee umerevamp timu yako unategemea instant results kivipi?
Unfortunately football doesnt work that way!
 
Hakuna cha utopolo wala lunyasi hapa.
Wakati yanga wana mchumua molinga watu tuliojua boli tulisema yanga hawezi beba ubingwa.
Sasa wee umerevamp timu yako unategemea instant results kivipi?
Unfortunately football doesnt work that way!
Anyway...
Sisi tumesajili na hatutaki maneno maneno.
Wakati huu ni wakazi tu
 
Uzuri wa msimu huu vyuma vyote vilikua vinacheza yani full time players..so damu zinachemka vibayaaa mnooo...sio kama wale waliosajiliwa na kina mangungu kina jobe wametokea mpumzikoni...
#ubaya ubwela#
 
Mpaka waje wajipate inakuwa kazi kweli kweli.
Nimewahurumia sana Gor Mahia na Azam kwata sababu hakuna muujiza utakaowapeleka Group Stage.
Means hata msimu ujao waki qualify wataendelea kuteseka.
Kitu nilichogundua kwa utaratibu uliowekwa na CAF njia pekee ya kuepukana na kukutana na vigogo ni kuwa na point nyingi tu. Azam wanatakiwa waanze safari yao ya kujitafuta kwa kuvimba haswa kwa Pyramids na APR, akikomaa akacheza makundi atakuwa kajisogeza sogeza kidogo. Yanga na Simba zimeshafanikiwa hadi sasa wao ni kupangiwa timu za viwango vya kawaida kwavile wapo kwenye kundi la highest ranking teams.
 
Kweli unapokuwa utopolo huwezi tofautisha akili ya muokota makopo majalalani na dr mwenye phd yake anaeyefundisha university. Yaani uwekezaji wa kucheza fainali ya ubingwa wa afrika ndio azizi ki ambae hafiki thamani hata ya ml 500? Na wanaonunua wachezaji wa b5 wasemeje?
Wewe mbumbumbu, ni PhD, hakuna phd.

Bata wahed ndegeless.
 
Inawezekana wewe ndiye unatakiwa ujifunze zaidi. Miaka yote hakuna timu inayoanzia hatua ya pili. Kuna kuna kuanza preliminary kwa zile timu dhaifu na baadaye ndio wanaofuzu preliminary wanaanza raundi ya kwanza kuungana na wale walioanza moja kwa moja raundi ya kwanza. Sasa mwaka jana Yanga akiwa bingwa alianza preliminary na timu nyingine dhaifu lakini Sima japo hakuwa bingwa alianza moja kwa moja raundi ya kwanza. Hiyo ni sawa? Kwa nini Yanga aonekane dhaifu wakati ni bingwa na aliyechukua nafasi ya pili yyani Simba aonekane mkubwa zaidi? Au wewe ndugu yangu hukujua hayo?
Msimu huu hata Simba angeshiriki klabu bingwa angeanzia round ya awali, wengi humu ni machizi hamjui kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom