CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

Uzuri hata wakitolewa wanaenda 16 bora y confederation...

Nyie kalieni kufukuzana tu...

Nasikia leo mmefukuza Hassan Ramadhab Kessy...

Anaungana na Banda na Isihaka
Sikujua hili, ebu nijuze zaidi.
Kessy kafukuzwa na Manji au?
Kuna tofauti kati ya kusimamishwa na kufukuzwa, kessy kasimamishwa, Isihaka yupo kikosini.
 
Marking ya yanga ni tatizo.
Haalfu Waarabu wakipata pasi nawashambulia kwa kasi na haraka saana,ila sie tukipata mpira tunasubiri mpaka picha ipigwe,yaani taratibuuu
 
yanga inatuwakilisha vizuri tu, licha ya kuwa nyuma
 
Yaani yanga ya ushindi siioni hapa,na nilisema kwamba kwa mfumo huu watapigwa.
Marking mbaya kupita maelezo.Na mwarabu akikupiga moja ujue safari imefika.Zinafuata kibaoo
 
perfomance ya Yanga imeshuka second half na ninaona kama Dida kuna wakti anatania
 
Kiungo Yanga kimepotea kwa sasa waarabu wanatokea pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…