Hahahaha,yaani Yanga hhakunaa kabisaa,hapa ndio naona sasa jinsi Ligi yetu ilivyo.
Hawa jamaa na vita kwenye nchi zao na mchafuko ila bado sie kisiwa cha amani wanatuchapa
Hapa naona marejeo ni kwamba Dida aliokolea mpira kwa kuupeleka nyavuni alifikiria atautoa nje,ali Mark vibaya