Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Yaan mie na wadis wote, Tanzania bado sana labda Azam kidogo. Ukitaka kujua matope yapo wapi angalia hapa.Wamatopeni wanao?
Uzuri hata wakitolewa wanaenda 16 bora y confederation...Mpaka sasa wanaaga mashindano Yanga. No goal attempt kipindi cha kwanza licha ya kuwacontain al ahly.
Asante, comredi.azam tv chaneli namba 116