CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

ImageUploadedByJamiiForums1461181118.103505.jpg
 
Amenikumbusha fainali ua uefa 1999 Ole Gunnar Solskjier alivyopiga goli dk za jioni...ndio kilichowakuta leo wakimataifa
 
Eti wamisri walikuwa hawana uhakika?We unajua waarabu wewe?Uliza kwa Azam
 
kuna funzo hapa la mtindo wa ushangiliaji nimeona dk za mwisho kabisa wanaongeza kasi ya kushangilia kana kwamba wameshinda TANO ma mpira ndio unaanza
 
Hivi Yanga kuna ulazima gani wa kucheza na waarabu hali ya kuwa mnajua kabisa lazima mfungwe?kama mtu humuwezi bora unyooshe mikono yaishe.
 
Kumbe siku hizi mpira siyo dakika 90 tena? Hivi jamani mpaka dakika hizo Yanga tumeshindwa kupaki basi twende kwenye matuta? Mimi ndio maana sitaki kuwa mshabiki sana wa hii mipira inauma sana na afadhali sijaangalia mechi yenyewe.
Ilikuwa ni poor marking kwenye krosi ya shambulizi...Hata goli lao la kwanza ni poor marking ya kona
 
Back
Top Bottom