CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

CAF Champions League: Al Ahly vs Yanga 20/04/16

Timu ya Al Ahly ya Misri inawaalika Yanga ya Tanzania katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo kwenye mchezo wa kwanza uliofanyika Dar Es Salaam walitoka sare ya 1-1.
Al-Ahly-vs-Yanga.jpg

Yanga ili isonge mbele inahitaji ushindi wowote ule au sare ya 2-2 na kuendelea kinyume na hapo itayaaga mashindano hayo.
-2444-b87b4.jpg

Mechi hii itaonyeshwa live na kituo cha Azam Tv kupitia chaneli yake ya ZBC two kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za hapa nyumbani.

Tukutane hapahapa kwenye ukumbi wetu wa JF tupeane updates kinachojiri kabla, wakati na baada ya mchezo.



===============================================================================

Updates:
Mpira ni mapumziko 0-0 bado milango ni migumu


Kipindi cha pili kimeanza

Dk 51' Hosam Ghaly anaipa Al Ahly goli la kuongoza.

Dk 55' Kipa wa Yanga Dida anaokoa shambulizi la nguvu lililofnywa na Al Ahly

Dk 60' Al Ahly bado anaongoza goli 1-0

Dk 65' Bado Yanga yupo nyuma kwa goli moja na anashambuliwa kunakotukuka.

Dk 66' Ngoma anaisawazishia Yanga goli, na matokeo ni 1-1

Dk 70' Matokeo bado ni 1-1

Dk 80' Al Ahly wanakosa goli baada ya Ghaly kuunganisha mpira wa kona na kupaisha kidogo

Mpira umesimama kwa muda kuna vurugu uwanjani baina ya wachezaji wa timu zote mbili

Dk 84' Yondani aningia badala ya Kaseke

Dk 87' Bado 1-1

Dk 88' Dida anafanya sevu ya nguvu na kuwaweka Yanga mchezoni

Dk 95' Yanga anafungwa goli la pili

Mpira Umeisha Yanga wametoka.

Al Ahly 2-1 Yanga ( 3-2 ) Aggregate
siyo mbaya sana...
 
Mimi sina ushabiki na timu za hapa home ila kwa mpira walio ucheza yanga ni haki yao kujiita wakimataifa nadhani ingelikuwa simba au timu yoyote ya hapa home tungefungwa goli nyingi
 
Jamani....mimi kama shabiki wa kutupwa wa Yanga niliyetukuka nikikaa kimya kuhusu hili nitakuwa sijatenda haki kabisa.

Mpira jana nimeuangalia,na hakika vijana wetu walifanya poa sana.
Tatizo walianza kuzubaa kuanzia dakika ya 80 na nilimuambia mwenzangu niliyekuwa naangalia nae kwamba hapa tunafungwa.
Binafsi naona Yondani ndiye aliyetugharimu.
Utamlindaje mtu halafu ukae nyuma yake kwa angle ile kutoka kwa mwenye mpira?
Angekuwa sharp akawahi kukaa mbele ya yule jamaa aliyeunganisha krosi ile kwa kichwa huenda leo hii yangekuwa mengine.
Lakini,hakuna jinsi,yaliyotokea yametokea.
Niliumia sana kwa lile goli,niliwaza harakaharaka ni kitu gani ninachokipenda kinachoweza kunitolea stress nikatafuta Korean series moja kali sana (Birth of a beauty) imenifariji na nimeamka poa kabisa.

Pongezi za kipekee zimfikie kipa wetu Munish (Dida) kwa kazi nzito na iliyotukuka aliyoifanya jana.
Wanayanga wenzangu,tumeonesha kwamba mpira tunauweza,kama sio vijana kuchanganyikiwa kwa mashambulizi yale ya haraka.....ila ukweli wako vizuri sana.
Na yeyote atakayethubutu kutukejeli atakuwa mnafiki tu,moyoni atakiri Yanga ni habari nyingine.
Period
Maneno kuntu
 
Washazoea kununua mabeki huko hakuna mabeki ka kessy.
Mtalalama sana wanazi uchwara wa Simba; Yanga bado inasonga mbele kimataifa. Ninyi endeleeni kujifunza kuzomea badala ya kushangilia. Nawapongeza wanasimba wote walioweka kando unazi wao na kuishaingilia Yanga. Ng'wabheja sana!!!, murakoze chanee!!, wakora saana!!, thank you so muuuch!!
 
Mimi sina ushabiki na timu za hapa home ila kwa mpira walio ucheza yanga ni haki yao kujiita wakimataifa nadhani ingelikuwa simba au timu yoyote ya hapa home tungefungwa goli nyingi
Yanga wamecheza mpira gani acha kuwapa ufagio .
 
Mtalalama sana wanazi uchwara wa Simba; Yanga bado inasonga mbele kimataifa. Ninyi endeleeni kujifunza kuzomea badala ya kushangilia. Nawapongeza wanasimba wote walioweka kando unazi wao na kuishaingilia Yanga. Ng'wabheja sana!!!, murakoze chanee!!, wakora saana!!, thank you so muuuch!!
Sio kulalama kwani nani asiye jua mbinu zenu chafu katika soka.
 
Jamani....mimi kama shabiki wa kutupwa wa Yanga niliyetukuka nikikaa kimya kuhusu hili nitakuwa sijatenda haki kabisa.

Mpira jana nimeuangalia,na hakika vijana wetu walifanya poa sana.
Tatizo walianza kuzubaa kuanzia dakika ya 80 na nilimuambia mwenzangu niliyekuwa naangalia nae kwamba hapa tunafungwa.
Binafsi naona Yondani ndiye aliyetugharimu.
Utamlindaje mtu halafu ukae nyuma yake kwa angle ile kutoka kwa mwenye mpira?
Angekuwa sharp akawahi kukaa mbele ya yule jamaa aliyeunganisha krosi ile kwa kichwa huenda leo hii yangekuwa mengine.
Lakini,hakuna jinsi,yaliyotokea yametokea.
Niliumia sana kwa lile goli,niliwaza harakaharaka ni kitu gani ninachokipenda kinachoweza kunitolea stress nikatafuta Korean series moja kali sana (Birth of a beauty) imenifariji na nimeamka poa kabisa.

Pongezi za kipekee zimfikie kipa wetu Munish (Dida) kwa kazi nzito na iliyotukuka aliyoifanya jana.
Wanayanga wenzangu,tumeonesha kwamba mpira tunauweza,kama sio vijana kuchanganyikiwa kwa mashambulizi yale ya haraka.....ila ukweli wako vizuri sana.
Na yeyote atakayethubutu kutukejeli atakuwa mnafiki tu,moyoni atakiri Yanga ni habari nyingine.
Period
Safi kabisa mimi roho yangu kwetu tulienda kupambana na tumeonyesha hivyo mpira ni mchezo wa mambo sasa so wameitumia nafasi nasi pia ni changamoto kwetu msimu ujao tujipange zaidi.
 
Jamani....mimi kama shabiki wa kutupwa wa Yanga niliyetukuka nikikaa kimya kuhusu hili nitakuwa sijatenda haki kabisa.

Mpira jana nimeuangalia,na hakika vijana wetu walifanya poa sana.
Tatizo walianza kuzubaa kuanzia dakika ya 80 na nilimuambia mwenzangu niliyekuwa naangalia nae kwamba hapa tunafungwa.
Binafsi naona Yondani ndiye aliyetugharimu.
Utamlindaje mtu halafu ukae nyuma yake kwa angle ile kutoka kwa mwenye mpira?
Angekuwa sharp akawahi kukaa mbele ya yule jamaa aliyeunganisha krosi ile kwa kichwa huenda leo hii yangekuwa mengine.
Lakini,hakuna jinsi,yaliyotokea yametokea.
Niliumia sana kwa lile goli,niliwaza harakaharaka ni kitu gani ninachokipenda kinachoweza kunitolea stress nikatafuta Korean series moja kali sana (Birth of a beauty) imenifariji na nimeamka poa kabisa.

Pongezi za kipekee zimfikie kipa wetu Munish (Dida) kwa kazi nzito na iliyotukuka aliyoifanya jana.
Wanayanga wenzangu,tumeonesha kwamba mpira tunauweza,kama sio vijana kuchanganyikiwa kwa mashambulizi yale ya haraka.....ila ukweli wako vizuri sana.
Na yeyote atakayethubutu kutukejeli atakuwa mnafiki tu,moyoni atakiri Yanga ni habari nyingine.
Period
halua halua heluaaaaaaa al abdallaaaaah al gamaaaaal al takbiiiir hahaaaaaa helua heluaaaaa
 
halua halua heluaaaaaaa al abdallaaaaah al gamaaaaal al takbiiiir hahaaaaaa helua heluaaaaa
Aaaaaahhhh vibaya hivyo sasa!
Mwenzio nishaanza kusahau unanikumbushia.
Jana yule mtangazaji nilitamani nimtafune!
 
Aaaaaahhhh vibaya hivyo sasa!
Mwenzio nishaanza kusahau unanikumbushia.
Jana yule mtangazaji nilitamani nimtafune!
Haaah natumaini leo saa tisa mtapangiwa waarabu tena mcheze nao
 
Back
Top Bottom