Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Mwakani mtakuwa wa mchangani tuu,hapo mshaelekezwa kibra bado kuchinjwa tuu.okwi boban sunzu tia neno hapa
simba tayari ameyakanyaga mawaya, yaani waliikimbia bakora wameenda kukutana na kirungu..... aloooo duuu
teh tena wewe bora usiongee maana ni mwepesi sana kukimbiaMwakani mtakuwa wa mchangani tuu,hapo mshaelekezwa kibra bado kuchinjwa tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepangwa na Green Warriors, Mashujaa Kigoma FC na Mbao FC. Maana Mikia hizi timu Akisikia zikitajwa anatepeta.
Mbona mechi Bado mshaanza kugombanaMazungumzo yangu yalianzia hapa, kama vita kacheza fainali confederation, basi na simba pia kacheza fainali.
Usiwe unakurupuka kama umemwagiwa maji ukiwa usingizini kwenye kile kibaraza chenu jangwani.
Churaaa mna mawengeee, tungewapangia full kikosi mngelalama kama mbwa kokoTehteh eti waarabu ndio tuliowataka!! Mashujaa wenyewe wamewatoa kamasi
Ile CUF dumeCUF ya lipumba au maalim?
Mkuu simba sc hua hatuogopi timu, tunaziheshimu tu.Ameisha? Msimu uliopita juzi Happ kacheza final ya champions league na esperansa
Acha masihara
Sent using Jamii Forums mobile app
mechi ya pili alishinda 3 - 1 but haikumsaidiaYes mechi ya kwanza alifungwa ugenini sijajua kama ya pili kule Kinshasa ishapigwa tayari
Tz ya magu kuna timu inaitwa Simba sheikh, kila awamu huwa wanawagonga hamsa hamsa timu moja inaitwa gongowazi ya kariakoo, ni hatari ina kiungo anaitwa Mwamba wa Lusaka ni khatari sheikhHuyu jamaa ashawaona hao wakongomani wanaitwa AS Vita? Ni balaa kila mwaka wapo ligi ya mabingwa. Congo ya Kabila kuna TP Mazembe, DC Motema Pembe na AS Vita kaa nazo mbali hizo timu.
Duh lkn they are back tena tuone safari hii. Halafu kuna Club Africain hawa ni wa Ivory Coast nao noma. Simba bado kumbukumbu ya Stela Abidjan itawatesa.mechi ya pili alishinda 3 - 1 but haikumsaidia
Usikariri mjomba huyo ismaily anaburuza mkia ligi ya egyptduhh haya makundi sio ila hilo kundi C si la kitoto kabisa