Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Mimi ni Simba damu ila katika hilo kundi timu ngumu kabisa ambayo naona itatusumbua ni hiyo As vita club hao jamaa ni balaa ila yote kwa yote naitakia timu yangu ya Simba sc au Mnyama wa mwituni maandalizi mema ya kuja kutafuna hizo nyama tatu zilizoingia msituni
SIMBA NGUVU MOJA
SIMBA NGUVU MOJA