CAF Confederation Cup Team Of the Season

CAF Confederation Cup Team Of the Season

Somi

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2009
Posts
3,921
Reaction score
4,858
👏 👏 👏

DDF3D2E4-EAB0-48B2-BC79-4BE48674120D.jpeg
 
Stay away from negativity unaweza dhani ni utani kumbe ndio roho mbaya inakuuingia hivyo
Kushangaa ndiyo roho mbaya? Mimi nilikuwa sijui hadi nimeambiwa leo, mambo ya ajabu sana haya ila yanatukumbusha uhalisia wa mambo ulivyo.
 
Kwamba timu ikifika fainali, inatakiwa kuuza wachezaji?

Akili za wapi hizi ndugu mbumbumbu?
Mlikuwa mnamsisitizia Feisal arudi kucheza mkadai ataonekana zaidi. Niliwahi kusema ngoja tuone hao waliobaki kama watauzika nikaonekana mbaya. Matokeo yake Feisal hakurudi ila ndiyo ameuzika, hawa waliofika fainali ni kama tutaendelea kuwa nao....sijui shida nini.

Napendaga tu kuwakumbusha kauli zenu maana nyingi huwa mnazisema kwa mihemko.
 
Atajikausha kama hajaona😅
Mmeisoma hiyo makala lakini?

Yanga president Hersi Ally Said says they are yet to be approached by a Premier Soccer League club but will listen to offers.

“We’ve not received any official communication from any PSL club regarding Fiston Mayele,” Said told FARPost.

“I see the speculation, but I’ve never spoken to anyone from the club, nor has my management spoken to anyone at Chiefs,” Mayele told FARPost.
 
👏👏👏👏
 

Attachments

  • E5549F72-D6AB-4C91-B765-552AD9FC0D06.jpeg
    E5549F72-D6AB-4C91-B765-552AD9FC0D06.jpeg
    191 KB · Views: 1
Mlikuwa mnamsisitizia Feisal arudi kucheza mkadai ataonekana zaidi. Niliwahi kusema ngoja tuone hao waliobaki kama watauzika nikaonekana mbaya. Matokeo yake Feisal hakurudi ila ndiyo ameuzika, hawa waliofika fainali ni kama tutaendelea kuwa nao....sijui shida nini.

Napendaga tu kuwakumbusha kauli zenu maana nyingi huwa mnazisema kwa mihemko.
Ku add value sio lazima uuzwe mfano Bacca wa sasa ni tofauti na yule wa before CAF same to Job, Mwamnyeto,Diara list goes on, leo hii wana uwezo wa kuivimbia timu yao kuhusu masirahi tumia akili mdogo wangu
 
Back
Top Bottom