CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.

Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo.

Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
 
kwahio kuna uwezekano timu moja ipo CAF na same time ipo ACL, na same time anatakiwa kucheza NBC,mapinduzi, azam federation ...
Hapana timu haitakiwi kucheza mashindano mawili ni moja tu. Ukikidhi vigezo vya AFL utacheza AFL ila kama haujakidhi utabakia kwenye CAFCL.
 
Sasa haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali hizohizo timu ndo zimeshikilia mpini kwenye hizo ligi zote 2, imekaaje hiyo?
Timu inachagua icheze wapi au inachaguliwa?
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 ila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Duu Kwa hiyo Kombe lipi litawekwa.juu ya lingine kati ya Champions League na AFL?
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 ila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Itaumiza sana timu ndogo kama kina Azam,FAR Rabbat nk.

Au timu 2 Kila Mashindano? Yaani Champions League timu 2 na AFL timu 2?
 
Back
Top Bottom