Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.
African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.
Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa
Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.
Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.
Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.
Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho
Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.
2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar
Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.
3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)
Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome
Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.
4) UNAF (Union of North Africain football)
Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.
5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo.
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.
Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.
Ikumbukwe msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.
Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa
Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.
Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.
Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.
Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho
Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.
2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar
Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.
3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)
Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome
Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.
4) UNAF (Union of North Africain football)
Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.
5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo.
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.
Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.
Ikumbukwe msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.