CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Itaumiza sana timu ndogo kama kina Azam,FAR Rabbat nk.

Au timu 2 Kila Mashindano? Yaani Champions League timu 2 na AFL timu 2?
Kwa upande wa CAFCL bado haijajulikana watakuwa wanachukua timu ngapi. Ila upande wa AFL waangalia rank kwa zone husika ila idadi ya timu haipaswi kuzidi 3 kwa nchi moja.
 
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
So michuano mikubwa hapo ni ipi sasa kati ya CAFCL na hiyo mipya
 
Na ikitokea timu imechukua ubingwa na pia imekidhi vigezo vya kua na point nyingi kwenye zone yake inakuaje mfano kwa Yanga akichukua ubingwa wa ligi kuu na pia point zake Kwa zone yake zinatosha kushiriki AFL hapa inakuaje?
 
Na ikitokea timu imechukua ubingwa na pia imekidhi vigezo vya kua na point nyingi kwenye zone yake inakuaje mfano kwa Yanga akichukua ubingwa wa ligi kuu na pia point zake Kwa zone yake zinatosha kushiriki AFL hapa inakuaje?
AFL haingalii msimamo wa Ligi za ndani ukiwa na point za kutosha Caf unafuzu moja kwa moja kushiriki AFL.
Klabu bingwa itabaki kwa zile timu zilizokosa points za kushiriki AFL na kwa mantiki hiyo kuanzia mwakani usitegemee kuziona Al Ahly,Wydad,Mamelod,Raja AC au Simba kwenye Champions league timu zote hizo na nyingne jumla 24 zitajiandaa kushiriki AFL badala ya Cafcl
 
AFL haingalii msimamo wa Ligi za ndani ukiwa na point za kutosha Caf unafuzu moja kwa moja kushiriki AFL.
Klabu bingwa itabaki kwa zile timu zilizokosa points za kushiriki AFL na kwa mantiki hiyo kuanzia mwakani usitegemee kuziona Al Ahly,Wydad,Mamelod,Raja AC au Simba kwenye Champions league timu zote hizo na nyingne jumla 24 zitajiandaa kushiriki AFL badala ya Cafcl
Umeyatoa wapi haya? nini maana ya Champions League?
 
Kwa hali ilivyo msimu ujao Simba na Yanga zitashiriki AFL bila kujali ligi itaishaje tayari hizo timu mbili zina point za kutosha kuwafanya kuwepo miongoni mwa hizo timu 24
Azam na kati ya hawa Coastal union, KMC au Tanzania Prisons anaweza shiriki nao klabu bingwa barani Africa kwa msimamo wa NBC ulivyo
Nilichokiona hii AFL inaweza punguza ushindani wa vilabu kwenye domestic league maana timu hata ikimaliza nafasi ya kumi ina uhakika wa kucheza AFL kulingana na point zake alizonazo kwenye michuano ya Caf

Kwa mfano kwenye ligi yetu kwa sasa kati ya Simba na Azam baada ya kukosa ligi msimu huu inakuwa haina maana tena kugombania nafasi ya pili maana haitabadilisha chochote tayari Simba anajijua mwakani atashiriki wapi (AFL) na azam anajijua pia hata amalize wa 4 atashiriki klabu bingwa na bado hatujajua bingwa wa CRDB federation cup yeye atapata nafasi gani huko kimataifa?
 
Umeyatoa wapi haya? nini maana ya Champions League?
Maana ya Champions league ni ligi ya mabingwa ila kwa sasa itakuwa ni kama shirikisho tu maana vigogo wote watakuwa AFL na hayo ni mabadiliko mapya ya Caf kama utakaa kubisha subiri msimu mpya wa Caf uanze ndio utaelewa
Kupenda wengi hatujapenda hata mm nikiwa mmoja wao ila nimeona Caf wametumia nguvu kubwa kuipa AFL hadhi kama michuano mikubwa namba moja kwa ngazi ys vilabu barani Africa
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.
Samahani ndugu, naomba chanzo (source) cha kuaminika cha habari yako.


1: Kwenye mtandao wa CAF haipo hiyo taarifa.




2:
Taarifa ya CAF kwenda kwenye vyombo vya habari haipo.

 
Back
Top Bottom