CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

MFano yanga na simba wana vigezo vya kushiriki AFL na ndio top 2 ya ligi kuu maana yake uko CAF ataenda Azam alieshika nafasi ya tatu?
Ndio itakuwa hivyo kwavile AFL ndio itakuwa ndio ngazi kubwa ya mashindano ya CAF upande wa vilabu
 
Ndio itakuwa hivyo kwavile AFL ndio itakuwa ndio ngazi kubwa ya mashindano ya CAF upande wa vilabu
Kwa upande wangu naona hii haijakaa sawa washiriki wanaoshindania ubingwa wa Afrika inatakiwa wapatikane kulingana na nafasi walizoshika katika ligi zao msimu uliopita kwa mchakato wa kupatikana washiriki AFL maana yake azam akichukua ubingwa hawezi kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa jumla katika ligi zote maana kigezo cha point kitamnyima nafasi ya kushiriki, kuna maana gani sasa ya kuwa na ligi kuu? Sijui nani alikuja na huu utaratibu wa kuangalia point za misimu mitano nyuma ni utaratibu wa ovyo yaani kama timu sasa hivi ni mbovu ipewe ushiriki kwa sababu kwenye interval ya miaka 3-5 iliyopita ilikua vizuri., Ridiculous.!
 
Hatimaye CAF wamefuta hili kombe kuna timu ya ajabu kweli ilicheza hadi fainali.

Sasa hivi zile medali hazina tofauti na shanga za wamasai
 
Hatimaye CAF wamefuta hili kombe kuna timu ya ajabu kweli ilicheza hadi fainali.

Sasa hivi zile medali hazina tofauti na shanga za wamasai
 

Attachments

  • 5692151-9ec768df2b72c86c86c28765da649f3d.mp4
    1 MB
Kwa upande wangu naona hii haijakaa sawa washiriki wanaoshindania ubingwa wa Afrika inatakiwa wapatikane kulingana na nafasi walizoshika katika ligi zao msimu uliopita kwa mchakato wa kupatikana washiriki AFL maana yake azam akichukua ubingwa hawezi kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa jumla katika ligi zote maana kigezo cha point kitamnyima nafasi ya kushiriki, kuna maana gani sasa ya kuwa na ligi kuu? Sijui nani alikuja na huu utaratibu wa kuangalia point za misimu mitano nyuma ni utaratibu wa ovyo yaani kama timu sasa hivi ni mbovu ipewe ushiriki kwa sababu kwenye interval ya miaka 3-5 iliyopita ilikua vizuri., Ridiculous.!
Wazungu waliona huu ni upuuzi ndio maana hadi wakaandamana yafutwe. This is Nonsense Tournament.
 
Ukiwa na akili timamu utagundua CAF wamefanya wrong kwenye hili jambo la AFL. Kama kweli walikuwa na nia ya dhati kuendeleza mpira walitakiwa waongeze mzigo huku kwenye Champions League. Hii maana yake Mkubwa ataendelea kuwa Mkubwa na Mdogo ataendelea kuwa Mdogo.

Wazungu waliliona hili jambo mapema wakalipinga hadi kwa Maandano. Ila Afrika kama mnavyojua ndio uwanja wa majaribio.
 
Kwa upande wangu naona hii haijakaa sawa washiriki wanaoshindania ubingwa wa Afrika inatakiwa wapatikane kulingana na nafasi walizoshika katika ligi zao msimu uliopita kwa mchakato wa kupatikana washiriki AFL maana yake azam akichukua ubingwa hawezi kushiriki mashindano ya kumtafuta bingwa wa jumla katika ligi zote maana kigezo cha point kitamnyima nafasi ya kushiriki, kuna maana gani sasa ya kuwa na ligi kuu? Sijui nani alikuja na huu utaratibu wa kuangalia point za misimu mitano nyuma ni utaratibu wa ovyo yaani kama timu sasa hivi ni mbovu ipewe ushiriki kwa sababu kwenye interval ya miaka 3-5 iliyopita ilikua vizuri., Ridiculous.!
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, na mbaya zaidi unakuta Simba ni ya 5 mfano inaenda kukutana katika mashindano na timu inayoshika nafasi ya 30 au 20+ kwavile tu nayeye kawakilisha zone yake.
 
Ushauri wangu ni bora mambo yangekuwa hivi

AFL
Caf champions league
Caf Confederation cup

Kwenye hiyo AFL wapambane wale wenye rank kubwa kwenye champions league mfano (waliocheza fainali) mshindi wa kwanza na wa pili na wengineo kama watakavopanga.

Caf champions league iwe ni ya wale walioshika nafasi ya kwanza na ya pili kwenye ligi zao. Kama wote wawili watakuwa kwenye AFL bc aliyeshika nafasi ya kwanza atabaki AFL na wa pili atarudi champions league na watatu nae atashiriki champions ikiwa kama bingwa wa ligi atacheza AFL (rejea hapo juu kwenye AFL)

Caf confederation cup iwe ya walioshika nafasi ya tatu na nne kwenye ligi zao. Ikiwa mshindi wa tatu atakuwa anacheza champions bc nafasi ya nne na tano watacheza confederation.
 
Ushauri wangu ni bora mambo yangekuwa hivi

AFL
Caf champions league
Caf Confederation cup

Kwenye hiyo AFL wapambane wale wenye rank kubwa kwenye champions league mfano (waliocheza fainali) mshindi wa kwanza na wa pili na wengineo kama watakavopanga.

Caf champions league iwe ni ya wale walioshika nafasi ya kwanza na ya pili kwenye ligi zao. Kama wote wawili watakuwa kwenye AFL bc aliyeshika nafasi ya kwanza atabaki AFL na wa pili atarudi champions league na watatu nae atashiriki champions ikiwa kama bingwa wa ligi atacheza AFL (rejea hapo juu kwenye AFL)

Caf confederation cup iwe ya walioshika nafasi ya tatu na nne kwenye ligi zao. Ikiwa mshindi wa tatu atakuwa anacheza champions bc nafasi ya nne na tano watacheza confederation.
Hapo michuano ipi inakuwa ndilo kubwa?
 
Haya mashindano ya AFL mi naona imekaa kibiashara zaidi na inajenga madaraja kati ya timu na timu
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.

Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo.

Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Hii Super league sijui AFL imekuja kutibua kila kitu ndio maana kule Ulaya waliikataa pamoja na kuweka dau nono
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.

Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo.

Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Mmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!?
AFL inaanza kabla ya CAFCL.
Rekebisha maelezo mkuu.
Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
 
Ushauri wangu ni bora mambo yangekuwa hivi

AFL
Caf champions league
Caf Confederation cup

Kwenye hiyo AFL wapambane wale wenye rank kubwa kwenye champions league mfano (waliocheza fainali) mshindi wa kwanza na wa pili na wengineo kama watakavopanga.

Caf champions league iwe ni ya wale walioshika nafasi ya kwanza na ya pili kwenye ligi zao. Kama wote wawili watakuwa kwenye AFL bc aliyeshika nafasi ya kwanza atabaki AFL na wa pili atarudi champions league na watatu nae atashiriki champions ikiwa kama bingwa wa ligi atacheza AFL (rejea hapo juu kwenye AFL)

Caf confederation cup iwe ya walioshika nafasi ya tatu na nne kwenye ligi zao. Ikiwa mshindi wa tatu atakuwa anacheza champions bc nafasi ya nne na tano watacheza confederation.
Gharama za kuendesha mashindano ni kubwa sana CAF haitaweza kumudu mashindano yote hayo, mimi naona iyo AFL isingekuwepo tu tubaki na utaratibu ule ule wa champions league na confederation
 
Back
Top Bottom