Mashindano hayawezi kufanywa kuwa matatu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma wakati kulikuwa na mashindano ya klabu bingwa Afrika, mashindano ya kombe la washindi na mashindano ya kombe la Caf (Mashood Abiola Cup).
Lakini kuleta huu mfumo hauna maana kabisa kumbe yangebakia tu kama yalivyokuwa. Caf ni bure kabisa.
Lakini kuleta huu mfumo hauna maana kabisa kumbe yangebakia tu kama yalivyokuwa. Caf ni bure kabisa.