CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Kwa hali ilivyo msimu ujao Simba na Yanga zitashiriki AFL bila kujali ligi itaishaje tayari hizo timu mbili zina point za kutosha kuwafanya kuwepo miongoni mwa hizo timu 24
Azam na kati ya hawa Coastal union, KMC au Tanzania Prisons anaweza shiriki nao klabu bingwa barani Africa kwa msimamo wa NBC ulivyo
Nilichokiona hii AFL inaweza punguza ushindani wa vilabu kwenye domestic league maana timu hata ikimaliza nafasi ya kumi ina uhakika wa kucheza AFL kulingana na point zake alizonazo kwenye michuano ya Caf

Kwa mfano kwenye ligi yetu kwa sasa kati ya Simba na Azam baada ya kukosa ligi msimu huu inakuwa haina maana tena kugombania nafasi ya pili maana haitabadilisha chochote tayari Simba anajijua mwakani atashiriki wapi (AFL) na azam anajijua pia hata amalize wa 4 atashiriki klabu bingwa na bado hatujajua bingwa wa CRDB federation cup yeye atapata nafasi gani huko kimataifa?
Nafikiri hii sasa imekuja kuua soka na sio kuleta ushindani.
 
Kwa mpira wa bongo jinsi watu walivyo wapuuzi soon wataanza kuidharau champions league mana wale wakubwa wote simba na Yanga watakuwa wanacheza AFL

Ila sio mbaya ili hata akina Azam nao waonje utamu wa champions league 😂
 
Screenshot_20240416_174705_X.jpg
 
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
Kutakua na makundi??
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Kumbe umesema kunaweza kusiwe na cafccl bado huna hukakika ila Kama yanav watashiriki lzm afike fainali
 
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
Duh una uhakika mzee au utapeli tu
 
AFL haingalii msimamo wa Ligi za ndani ukiwa na point za kutosha Caf unafuzu moja kwa moja kushiriki AFL.
Klabu bingwa itabaki kwa zile timu zilizokosa points za kushiriki AFL na kwa mantiki hiyo kuanzia mwakani usitegemee kuziona Al Ahly,Wydad,Mamelod,Raja AC au Simba kwenye Champions league timu zote hizo na nyingne jumla 24 zitajiandaa kushiriki AFL badala ya Cafcl
Sasa kama issue ni point na hao simba et al hawashiriki CAFCL inakuaje miaka ya mbeleni watabaki vipi na hizi timu zinazoongeza point zitaishia wapi?
 
Kumbe umesema kunaweza kusiwe na cafccl bado huna hukakika ila Kama yanav watashiriki lzm afike fainali
Hakuna mashindano yanaitwa cafccl. Cafccl ndio maanake nini? Mkuu muda ni mwalimu mzuri. Hayo mashindano ya Cafcc tokea mwezi wa kwanza raisi wa CAF alisema anaweza kuyafuta kutokana na kuwepo na mashindano matatu hakuna pesa za kutosha kuyaendesha na pia ratiba inabana. Ila kwasasa ni rasmi yamefutwa hayo mashindano.
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Yanga itaingia kwa Mgongo wa Simba, sababu kuu ni Kupata Mashabiki ambao ni base kubwa kwa Simba.
 
kwahio kuna uwezekano timu moja ipo CAF na same time ipo ACL, na same time anatakiwa kucheza NBC,mapinduzi, azam federation ...

Mkuu hujamalizia kuusoma uzi wote?

Mwishoni kabisa, jamaa kaandika kama ifuatavyo...

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
 
Msimu wa 2024/2025 kutakuwa na mashindano ya African football league na CAF champions league.

African football league itahusisha timu 24 ambazo zitatoka kwenye zone tatu kulingana na rank zao za CAF.

Zone 1) North Africa
Zone 2) West / Central Africa
Zone 3) South / East Africa

Kwa sheria kila zone itatoa timu 8 ambazo zitapatikana kutokana na Rank walizonazo.

Mpaka sasa mashindano yakiwa yanaendelea ya CAF kuna timu 4 zinazoweza kubadilisha msimamo wa ranking ambazo ni Tp Mazembe mwenye point 38 mpaka sasa, Zamalek wenye point 38 mpaka sasa, Berkane mwenye point 37 hadi sasa na USM Alger mwenye point 36. Hizo timu zinaweza zikaongeza points na atakaye athrika na hilo ni Simba na Peteo Luanda pekee kwavile ndio wenye point 39 kila mmoja. Juu ya Simba kuna Mamelodi ambaye hakuna anayeweza kuzifikia point zake anapoint 54.
Pamoja na hilo Simba bado atakuwa na faida kutokana na zone anayotokea hakuna timu nyingi juu yake.

Upande wa Yanga, kwa vyovyote itakavyokuwa atabakia nafasi yake ile ile ya 13 akiwa na point 31.

Tuangalie zone za CAF
1) COSAFA (Council of Southern Africa Football Associations)
Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Angola, Madagascar, Malawi, South Africa Mauritius, Mozambique, Namibia, Seychelles, Zambia, Zimbabwe, Botswana,Comoros,Eswatini,Lesotho

Kwenye hii zone ni Angola na South Africa pekee ndio waliokuwa na timu zenye rank ya juu ambapo ni Petro Luanda na Mamelod.

2)CECAFA (The Council for East and Central Africa Football Associations )

Hii zone inahusisha nchi zifuatazo Burundi, Djibouti, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Somalia, SouthSudan, Tanzania, Uganda, Zanzibar

Kwenye hii zone ni Simba na Yanga ndio wapo juu kwenye rank.

3) UNIFFAC(Central African Football Federations' Union)

Inahusisha nchi zifuatazo
Cameroon, Central African Republic,Chad, DR Congo, Equatorial, Gabon, São Tome

Kwenye hii zone ni DR Congo pekee akiwasilishwa na Tp Mazembe ndio yupo rank ya juu.

4) UNAF (Union of North Africain football)

Hapa ndio rank iliyosheheni wababe wa kwenye rank. Timu za kiarabu ndio zipo kwenye hii zone na ndio waliotawala kwenye rank ya CAF. Hii zone inahusisha Algeria,Tunisia, Egypt, Morocco na Libya.

5) WAFU (West African football union)
Hii zone kwenye ranking inawakilishwa na Asec na rivers united ambao wote hao hawaizidi Simba na Yanga point. Hii zone inahusisha nchi zifuatazo
Cape Verde, Gambia, Guinea, Guinea Bissau, Mali, Mauritania, Liberia, Senegal, Sierra Leone, Ghana, Burkina Faso, Benin, Ivory coast, Niger, Nigeria, Togo.

Hivyo ukiachana na North zone, Simba na Yanga imeweza kuziacha timu nyingi sana za kutoka zone zinginezo hivyo swala la kushiriki michuano ya African football league ni uhakika.

Ikumbukwe msimu ujao kunaweza kukawa na mashindano mawili pekee AFL na CAFCL) na haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili.
Hongera Sana mkuu Kwa ufafanuzi murua Sana Heko. [emoji119]

Naona kuna watu bado hawajaelewa timu zikavoshiriki AFL... Ingawa umefafanua vizuri kua n zile zilizo Rank ya juu CAF Kupitia Shirikisho la soka la ukanda husika...

Pia umeeleza vizuri sasa rasmi AFL ndo kutakua kunakutanisha vigogo wa soka Afrika maana ni only top ranking team Katika Miaka Mitano ya michuano ya CAF ila sijajua na huko AFL kutakua kunatoa pointi au vipi...?

Sasa rasmi CAF champions League itakua inashirikisha team zile zilizokua kombe la Shirikisho hivo kombe la Shirikisho automatically litakua halipo....

Japo naona wangeliacha kama ulaya walivo na michuano mitatu yaani UEFA, EUROPA Na CONFERENCE....
Na Sisi tungekua na AFL, Champions League na Confederation cup...

Ila sio mbaya tusubiri msimu mpya najua utakua wa Moto Sana....
 
Mkuu hujamalizia kuusoma uzi wote?

Mwishoni kabisa, jamaa kaandika kama ifuatavyo...
ilikua imenichanganya kidogo maaana ukisema CAFCL kidogo kuna uzito ila apa inachukuliwa kama shirikisho tu
 
Yanga itaingia kwa Mgongo wa Simba, sababu kuu ni Kupata Mashabiki ambao ni base kubwa kwa Simba.
Yanga itaingia kwa mgongo wake wenyewe kwasababu point 16 alizipata kwa kufika fainali cafcc na point 15 amezipata kwa kufika robo fainali cafcl ikamfanya awe na point za kutosha kushiriki AFL akiwa na jumla ya point 31.
Swala la mashabiki sio kigezo kikubwa kwasababu Mamelodi tu kule pamoja na ubora wao lakini inafahamika mashabiki hawana. Japo ukweli Yanga ina mashabiki wengi sana tofauti na unavyowaza wewe.
 
Hongera Sana mkuu Kwa ufafanuzi murua Sana Heko. [emoji119]

Naona kuna watu bado hawajaelewa timu zikavoshiriki AFL... Ingawa umefafanua vizuri kua n zile zilizo Rank ya juu CAF Kupitia Shirikisho la soka la ukanda husika...

Pia umeeleza vizuri sasa rasmi AFL ndo kutakua kunakutanisha vigogo wa soka Afrika maana ni only top ranking team Katika Miaka Mitano ya michuano ya CAF ila sijajua na huko AFL kutakua kunatoa pointi au vipi...?

Sasa rasmi CAF champions League itakua inashirikisha team zile zilizokua kombe la Shirikisho hivo kombe la Shirikisho automatically litakua halipo....

Japo naona wangeliacha kama ulaya walivo na michuano mitatu yaani UEFA, EUROPA Na CONFERENCE....
Na Sisi tungekua na AFL, Champions League na Confederation cup...

Ila sio mbaya tusubiri msimu mpya najua utakua wa Moto Sana....
Raisi wa CAF alisema tatizo ni gharama za kuendesha mashindano
 
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
MFano yanga na simba wana vigezo vya kushiriki AFL na ndio top 2 ya ligi kuu maana yake uko CAF ataenda Azam alieshika nafasi ya tatu?
 
Back
Top Bottom