CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

Kwa hiyo mshimdi wa tatu ndiyo ataitwa Bingwa na kwenda kushiriki Ligi ya Mabingwa?

Sasa hapo Bingwa atakuwa nani?
Yaani wanaua ushindani wa ligi. Yaani Yanga au Simba hata wakifanya vibaya kwenye ligi zao lakini wana uhakika wa kucheza michuano ya CAF kisa ranking ina wabeba. Hili halijaa kaa sawa ni upuuzi
 
Mbona jamaa katoa maelezo na ufafanuzi upo clear sana mkuu
Nimesoma ila kama ndio hivi mashindano ya CAF yanakosa mantiki.
CAFCL na CAFCC ingebaki vile vile.
Kama ilivyo Uefa na Europa.
 
Kwanza wangebadili jina hilo kutoka kombe la mabingwa hadi jingine,maana haitaleta maana timu ya 3 kucheza ligi ya mabingwa.
Pili,waseme hizo ranks zinakuwa validated and updated vipi ili kuendelea kushiriki ligi hiyo,maana ni jambo la ajabu sana yanga hii kucheza na horoya ligi moja kwa vigezo vya ajabu ajabu na bado tutegemee radha ya ushindani wa mpira wa miguu.
Sema hii Afrika ni sehemu ya ajabu sana kuishi binadamu mwenye akili timamu
 
Kwanza wangebadili jina hilo kutoka kombe la mabingwa hadi jingine,maana haitaleta maana timu ya 3 kucheza ligi ya mabingwa.
Pili,waseme hizo ranks zinakuwa validated and updated vipi ili kuendelea kushiriki ligi hiyo,maana ni jambo la ajabu sana yanga hii kucheza na horoya ligi moja kwa vigezo vya ajabu ajabu na bado tutegemee radha ya ushindani wa mpira wa miguu.
Sema hii Afrika ni sehemu ya ajabu sana kuishi binadamu mwenye akili timamu
Kwenye kubadili jina upo sahihi kabisa haiwezekani michuano kuitwa klabu bingwa ikiwa mashindano tayari yameshushwa hadhi na ikitokea wakibadili jina maanake ni sawasawa na CAFCC iliyobadilishwa jina.
Kuhusu ranking nadhani itakuwa ni utaratibu ule ule AFL kwavile ndio ina hadhi kubwa na points zake zitakuwa ni kubwa huku upande wa CAFCL point zake zikiwa ni chache tofauti na za AFL.
 
Hapa umeeleweka, so mshindi wa tatu na FA sasa hivi hawana Chao tena?
Mashindano ya FA yaliundwa kwaajili kuwakilisha timu katika michuano ya CAFCC hivyo hayana maana kwasasa labda warekebishe taratibu za ushiriki wa CAFCL
 
ndo hazitambuliki tena
Sijui umejitoa akili au uwezo wako mdogo wa kufikiria.

Makombe na medali ni sehemu ya kumbukumbu kwa wachezaji na klabu. Na pia kwenye mpira historia hazifutiki. Haya mashindano ya CAF mpaka yamefikia kuitwa CAF champions league na CAF Confederation cup yamepitia hatua nyingi. Zamani kulikuwa na The African cup winners' cup ambayo kwasasa ikiitwa CAF Confederation cup na African Cup of Champions Clubs ambayo kwasasa ikiitwa CAF champions league, lakini kumbukumbu za hayo mashindano hayafutiki. Ukiingia profile ya Al Ahly kwenye angle ya kimataifa au timu yeyote kubwa utaona wanakuwekea achievement zake zote hadi kwa mashindano yaliyofutwa au kubadilishwa.

Hivyo pamoja na mashindano kufutwa haitobadilisha profile ya Yanga kuwa ni runner's up wa CAFCC msimu wa 2022/2023
 
Kucheza AFL kigezo ni CAF 5 years ranking. Nimefafanua vizuri tu huko juu.
Kuna zone 3 na kila zone inatakiwa itoe wawakilishi 8 na hao wawakilishi wanapatikana kwa kutumia CAF 5 years ranking.
Huwezi kuchagua kama caf ranking una point nyingi utafuzu AFL kama una point chache basi msimamo wa ligi kuu utakufanya ushiriki CAFCl.
AFL ndio itakuwa shindano kubwa halafu CAFCL itakuwa ni dogo.
Yaan bingwa nchi acheze shindano Dogo!! Hawa caf watakuwa wanavuta bangi
 
Ukitaka kujua waafrika ni watu wa ovyo moja ya vithibitisho ni hapa, Hivi ligi zinakaribia kwisha timu zishagombea nafasi, imebaki kama mitatu ligi iaenze, wao ndio wanavunja. Waishindwaje hiyo mipango yao kuifanya kuanza msimu unaofata mbele zaidi?
 
Hao watacheza Champions League, Simba na Yanga ndio watacheza AFL
Inaonekana wenye points nyingi katika orodha ya CAF ndiyo watacheza hiyo Aftical League, na Champions ni kwa ajili ya bingea na mshindi wa pili. Kama ni hivi wanaenda kuua msisimko wa Soka kabisa
 
Shindano la akina Yanga hilo halipo tena. Sijui watafanyaje sasa.
Watakuwa kama Simba mashindano ya kugombea kombe la washindi lilifutwa baada ya kufika fainali 1993 na kutolewa na Stella Abdijan ya Ivory Coast
 
Sijui umejitoa akili au uwezo wako mdogo wa kufikiria.

Makombe na medali ni sehemu ya kumbukumbu kwa wachezaji na klabu. Na pia kwenye mpira historia hazifutiki. Haya mashindano ya CAF mpaka yamefikia kuitwa CAF champions league na CAF Confederation cup yamepitia hatua nyingi. Zamani kulikuwa na The African cup winners' cup ambayo kwasasa ikiitwa CAF Confederation cup na African Cup of Champions Clubs ambayo kwasasa ikiitwa CAF champions league, lakini kumbukumbu za hayo mashindano hayafutiki. Ukiingia profile ya Al Ahly kwenye angle ya kimataifa au timu yeyote kubwa utaona wanakuwekea achievement zake zote hadi kwa mashindano yaliyofutwa au kubadilishwa.

Hivyo pamoja na mashindano kufutwa haitobadilisha profile ya Yanga kuwa ni runner's up wa CAFCC msimu wa 2022/2023

sidhan kama wamefikiria vizuri hawa jamaa yaaani nawaza kwa heshima uefa iliojitengenezea leo hii iwe kwenye level moja na europa ama conference
 
Back
Top Bottom