CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

CAF Confederation: Kikosi cha Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wake Pyramids, yafungwa 3 kwa 0

Huyu alikua analipwa fadhira kwa kuunga mkono juhudi za yanga waziwazi
Ila Ali Ali huwa anatupandisha presha mashabiki wa Yanga! Yaani hata huelewi siku hiyo ataamkaje. Kimo kinamtesa! Yaani viongozi wa Yanga walishindwa kabisa kumuona Bakary "Nondo" Mwamnyeto wa Coastal Union kweli!
 
Tatizo la timu za Tanzania ni kufika mwisho wa mchezo wakiwa na uwezo ule ule walioanza nao!!
 
Azam wameshaomba poo, game haionyeshwi, wazee wanaojua namna ya kupata hii game live toka huko Arabuni watupie link hapa.
 
Back
Top Bottom