CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Swali la msingi hivi sisi kufuzu siku hizi ni ubora au kubadilishwa kwa mfumo kunafanya kuwa rahisi kufuzu AFCON? maana zamani ilikuwa team 12 na ilikuwa kazi kupata nafasi halafu wakaja kuongeza 16 na haikuwa rahisi ila baada ya kuongeza team 24 naona kama ukishindwa basi wewe mbovu tu wala haihitaji team kuwa ya ushindani sana, kwa maana team ya kawaida tu inaweza kufuzu siku hizi hata Comoro wapo sana tu huko.
Tuna bahati tu
 
Tayari Tanzania tumeshafunguliwa mashitaka na Guinea na wanataka tuenguliwe kwenye AFCON kisa Ame.

Kwenye match list alisajiliwa atavaa jezi nambari 24 badala yake uwanjani alivaa jezi 26.

Mwenye ujuzi na hili atujuze zaidi tafadhali!
 
Back
Top Bottom