zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Chupi limejaa mimavi sasa kajinyeaUWEGE UNAACHA KUJITEKENYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chupi limejaa mimavi sasa kajinyeaUWEGE UNAACHA KUJITEKENYA
Mshamba tuu.Timu ya kuwafunga mnaya?
Mzee punguza hasira usinye kabla haijaingia chooni utajinyeaBasi usitukane
Taifa stars juuuuu
Pole sana mkuu nahisi umeumia sanaGuinea wameniangusha
Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji
Me kero yangu
Msipeleke pongezi Kizimkazi
UnaKITU utafika mbaliMkishajua jinsi ya kuandika thread jf bas ,nikuandika Lolote biła kufikiria ni kina nan wanasoma,
Shubmit
Hii post aliyetuma Yuko wap..Anyoshe kidole juuMpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune
Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe
Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji
Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
tizama huyuGuinea hafungwi piga ua,