CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Hakuna shabiki wa yanga mwenye akili wote ni magugu maji hata hili ni gugumaji.

Msuvaaaaaaaaaaaaaa
 
Mpira ni biashara

Timu letu Bado ni bovu

Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare

Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Hii post aliyetuma Yuko wap..Anyoshe kidole juu
 
Back
Top Bottom