CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

CAF hawawezi kukubali Taifa stars kufuzu Afcon

Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Sawa shabiki wa Baltazar
 
Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Ikitokea imefuzu tutakupeleka kwa Baltazary.
 
CAF hawawezi kuiminya taifa stars,ila Stars wataangushwa na kiwango chao,timu ikishinda sifa anapewa mwanasiasa ni bora afungwe tu kesho.
 
Mmh ata bila Caf hili li timu halitoboi, kuwafunga ethiopia wabovu zaid yetu tume pata li kichwa tayari
 
Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Mkuu, Balthazar anatokea Equatorial Guinea
 
Mpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu
Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune

Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe

Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji

Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Tuwe makini wasije wakatu baltasary kesho pale taifa 🤣🤣🤣🤣
 
HatA mimi nilikuwepo kwenye press yao walizugumzia pia kuwa hawawezi kukubali Yanga Africans waingie Robo kwA Team mvovu kama ile iliyofungwa na Tabora miguu ya Bajaj wakamaliza na swala la kuhama Uwanja wamewaambia wametoa maagizo kwa Tff wawaruhusu kutumia uwanja wA Kaunda pale jangwani ili kuepusha usumbufu kwa mashabiki wake.
 
HatA mimi nilikuwepo kwenye press yao walizugumzia pia kuwa hawawezi kukubali Yanga Africans waingie Robo kwA Team mvovu kama ile iliyofungwa na Tabora miguu ya Bajaj wakamaliza na swala la kuhama Uwanja wamewaambia wametoa maagizo kwa Tff wawaruhusu kutumia uwanja wA Kaunda pale jangwani ili kuepusha usumbufu kwa mashabiki wake.
Kumbuka mbumbumbu yupo mashindano ya akina mama
 
Back
Top Bottom