Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo huku sikupondi.....tutakutana kijiweni kwetu..huku kila mtu anafikiria lake...hahahaaaaNa wewe unaniponda mawe?
Kikubwa pongezi asipewe Kizimkazi
Mkuu hii tuloidunga ni Guinea ya Bissau kama sijakosea yako ni Equetorial GuimeaMpira ni biashara
Timu letu Bado ni bovu
Stars umeenda Afcon mara mbili mfululizo ila haijawahi kushinda wala kutoa sare
Timu letu kila likienda linapigwa na kututia aibu. Me Mtanganyika ila sitaki timu letu lifuzu
Yaani tumeikosa Ghana, tena tuikose Guinea, iyo Afcon itakuwa kama ndondo cup
Timu letu linapewa hamasa
Likishinda Kuna watu wanajipa hati miliki Bora lifungwe ili wote tunune
Kibiashara Taifa stars haitazamwi kama Guinea
Guinea ina professional wengi wanaocheza Europe
Yaani CAF waipitishe timu lililojaza wachezaji wa KMC, Mashujaa na Dodoma Jiji
Me nasimama na timu Baltasary Engonga, Guinea
Hii ni Guinea Conakry sio Bissau wala Equatorial Guinea.Mkuu hii tuloidunga ni Guinea ya Bissau kama sijakosea yako ni Equetorial Guimea
sina cha kufurahia mkuu, wanaenda kutolewa chap, Kama mashindano ya liyopita tuliishia kupata point mojaFurahi Mkuu