Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
hawajasahauliwa CAF wanaijua timu moja tu Tanzania kwa rekodi zakeIweke na uto hapo kwenye list nadhani uli isahau.
Uto ni aseno iliyochangamka wakimuweka humo hatopata hata pointi mojaIweke na uto hapo kwenye list nadhani uli isahau.
Mechi ipi hujaionaHawa CAF wameshindwa kuonyesha live mashindano yao, wataweza Super League!
NdioWrite your reply...haya mashindano si ndio yalipigwa marufuku ulaya?
Mechi zote za kabla ya makundiMechi ipi hujaiona
Kwa soka la afrika inafaa sana tuHawa jamaa CAF wanapenda kuiga kila kitu toka UEFA, hii Super Ligue sio ile iliyokufa kifo cha mende kule Ulaya hivi karibuni hadi timu nyingine kama Man Utd Woodward akalazimika kujiuzulu?
Ndo copy yake hii,ila kwa Africa itabarikiwa ni itafanyika.Hawa jamaa CAF wanapenda kuiga kila kitu toka UEFA, hii Super Ligue sio ile iliyokufa kifo cha mende kule Ulaya hivi karibuni hadi timu nyingine kama Man Utd Woodward akalazimika kujiuzulu?
Mihelafaida ya hii kitu ni nini
faida yake mikia wanadhani watachukua kombefaida ya hii kitu ni nini
Hii itabarikiwa kwasababu wahusika ni CAF wenyeewe tofauti na kule ulaya ambapo timu zilijitoa kutoshiriki mashindano yanaandaliwa na UEFA na kuunda ya kwaoNdo copy yake hii,ila kwa Africa itabarikiwa ni itafanyika.
faida yake mikia wanadhani watachukua kombe
Wasubiri list ya waokota mipira wakati wanaume wanachezaIweke na uto hapo kwenye list nadhani uli isahau.