Hoja yako ni ipi naona shavu limekushukaWrite your reply...haya mashindano si ndio yalipigwa marufuku ulaya?
Indeed.Hii itabarikiwa kwasababu wahusika ni CAF wenyeewe tofauti na kule ulaya ambapo timu zilijitoa kutoshiriki mashindano yanaandaliwa na UEFA na kuunda ya kwao
Sioni itafaa vipi, timu chache sana tofauti na huko ulaya kwa wenye timu nyingi, ona hapo juu nchi moja inatoa timu tatu, wakati nyingine zinatoa timu moja, nchi nyingine hazitoi hata timu moja.Kwa soka la afrika inafaa sana tu
Hata sioni maana yake.Ndo copy yake hii,ila kwa Africa itabarikiwa ni itafanyika.
Huko CAF wamejaa Simba watupu ina maana sisi Utopolo hawatuoni hata baada ya kuifunga hiyo Simba yao? CAF wanatuonea sana sisi watopoloCAF inatarajia kukutana Morocco Julai 16 kwa ajili ya kujadili mfumo wa mashindano ya CAF Super League
Timu zilizotajwa
[emoji1173]Wydad, Raja, Berkane
[emoji1093]Al Ahly, Zamalek, Pyramids
[emoji1221]Mamelodi Sundowns, Orlando Pirates, Kaizer Chiefs
[emoji1078]TP Mazembe, Vita Club
[emoji1232]Al Hilal, Merrikh
[emoji1241]Simba
[emoji1119] Horoya